Wapoti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 2,824
- 1,095
Hivi huyu mama si sawa na mzazi wako wa kike? Kuna haja gani ya kumtusi na kumkejeli?
Hata yeye hajiheshimu ndio maana haeshimiwi mtu mzima kama yeye hakupaswa kuwaambia wabunge vile jiheshimu hueshimiwe ukubwa si hoja heshima hujenga utu ajirekebishe