Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
Unajua taratibu za hilo azimio lakini fuatilia kwanza taratibu zake halafu utaona ulivyo na fikra finyu.Wapeleke Azimio la kutokuwa na imani na Rais tuone kama watakataa kujiuzulu hao wezi.
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
Akili za watu wengine bhana, haya hakuna sababu za msingi, umeshinda
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
Kuwajibika bila sababu za msingi ni mpuuzi mtu hawezi kuwajibika pasipo sababu za msingi.
We ---- kweli yaani watu wameiba afu unasema hakuna sababu ya msingi ---- wewe tena ---- la mamako na kufungiwa humu JF nifungiwe tu sio kushuhudia jitu linatetea upuuzi wa aina hii acha ushoga ---- we,mapenzi ya kisenge kutetea upuuzi wa kijinga namna hii ---- we
Achana naye huyo! Anakomaa usiku na mchana wenzie kina Anna na James wanasakata magoma kusherehekea 1.6Bilion za mgawo. Yeye akipata hela ya dagaa kwa kupost ujinga maisha kwake mswano duh!
View attachment 206582
Achana naye huyo! Anakomaa usiku na mchana wenzie kina Anna na James wanasakata magoma kusherehekea 1.6Bilion za mgawo. Yeye akipata hela ya dagaa kwa kupost ujinga maisha kwake mswano duh!
View attachment 206582
wanakataa kujiuzulu kwa sabab wanaona biashara bado inaendelea na ufisadi haujapata dawa yake na watu walioshiriki ni wengi wanaona wao wawe kafara wakati kuna stelling kaachwa? ni hiv jambo hili lilitabiriwa na nyerere kitambo na aliliona ndio mana katoa tahadhar nyingi hawakusikia. na mimi nasema wakikomaa na msimamo wao na wapinzani wakaondoka wamekwisha kwa sabab wapinzani wataenda kuwashitaki kwa wananch jambo ambalo ni hatar zaidi ya kukubali kuachia ngaz kwa viongoz wa serikali.