Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
Hii serikali ya magamba inabidi iondolewe nadarakani mapema sana.Jk na wenzake wanabidi wapewe azabu kali sana wakitoka madarakani ili iwe fundisho .
Turudi kwenye hoja ya huyu mama.Huyu mama ana matatizo sana,kwa minajili hii amewaharibiwa wanawake sana katika swala la uongozi.Hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.Alaaniwe kwa ufedhuli anaowafanyia watanzania kwa kuwafanya majuha.
Turudi kwenye hoja ya huyu mama.Huyu mama ana matatizo sana,kwa minajili hii amewaharibiwa wanawake sana katika swala la uongozi.Hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.Alaaniwe kwa ufedhuli anaowafanyia watanzania kwa kuwafanya majuha.