mzamifu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2010
- 6,379
- 3,826
Kwa nini Makinda anarudiarudia kuwasemea wabunge kuwa ni masikni na kwamba wanataka kuacha kazi KWA SABABU PESA WANAZOPATA HAZIWATOSHI?
Wabunge wanapokea milioni mbili na laki tatu na maruprupu mengine wanateseka! Je, Walimu wanaopokea laki mbili bila marupurupu! na wale wa kima cha chini nao?... Hoja yake kuwatetea wabunge kwa kulinganisha na nchi nyingine haina mshiko kabisa.mazingira ya sasa ya tanzania na watanzania ni tofauti. SPIKA CHAMBUA KABLA HUJASEMA JAMBO HADHARANI
Wabunge wanapokea milioni mbili na laki tatu na maruprupu mengine wanateseka! Je, Walimu wanaopokea laki mbili bila marupurupu! na wale wa kima cha chini nao?... Hoja yake kuwatetea wabunge kwa kulinganisha na nchi nyingine haina mshiko kabisa.mazingira ya sasa ya tanzania na watanzania ni tofauti. SPIKA CHAMBUA KABLA HUJASEMA JAMBO HADHARANI