Duh huyu mama kanistua sijui ndoo uzee unamnyemelea ina maana ndo maana na yeye ameamua asigombee tena uchaguzi ujao?fine manake miaka yake yote 17 pamoja na kuwa bacherol mzoefu bado analalamika duh! nchii hi bwana na je angekuwa anasomesha mtoto feza au chuo kikuu igekuwaje..anasema sisi ndo wabunge wetu wanalipwa kiasi kidogo kuliko wabunge wengine wa afrika kwa sekta nyingine katika rank tupo wangapi?na je tanzania ni ya ngapi kwa umaskini duniani?au anataka tuwe sawa na nigeria au south afrika?duh kweli chadema mnatisha!!moto ule ule mpaka wajiuzulu wote this time watagombea walimu wa shule za msingi wenye shida wakatutetee