Makinda namuonea huruma, mechi hii atakuwa anazuia magoli tu, timu ya CHADEMA.

Jay One

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
16,828
16,661
Huko bungeni Makinda naona atalia, maana hii timu ya CHADEMA na coach wake
Dr Slaa inatisha, look these, all are strikers, defenders, Dr Slaa atakuwa kama
Sir Alex Ferguson, anpoint where to strike harder, Mabere Marando coach msaidizi,
na mm niko bench na wana JF wote
as reserves na kuhesabu magoli, hatushangilii maana ushindi tunao, hii list ni mwisho

1. Mbowe
2. Zitto
3. Tundu Lissu ( Chief whip)
4. John Mnyika
5. Halima Mdee
6. Wenje
7. Ndesa ( Mzee wa Chopa)
8. Regina Mtema
9. Kafulila ( huyu ni NCCR tumweke maana ni mpinzani wa kweli)
10.Mustafa Akoonay ( huyu ni moto utamwona ni Mwiraq, hacheki, ni mwanasheria
muulizeni Marmo)
11.Jose Selasini, Muulize Mramba atakueleza, mm na ww tutapoteza utamu
halafu Shibuda, kazi yake ni yeyote atakaye leta fujo, kiswahili, wanobisha magoli
tunamkabidhi, & Lema, pia karibu na bench la coach, wakina Kubenea, J. Ulimwengu
Tanzania Daima & Mwananchi watatoa glucose, First aid na advice fasta kwa wachezaji, na wana JF hapa watasaidia, hakuna mtu kukimbia uwanja, hadi kieleweke, hata magoli 100 funga tu, period
Hawa CUF i disregarded, omitted, deleted, ignored, not opposition, whatever name
u will give them, kwanza mbunge wa Znz unakuta anawakilisha watu kama wa kijiji
kidogo cha Bara, like nyumba kumi kumi, so i don't care, & are not strong in Laws, etc etc & don't ask me about CUF
tuwaache, sisi tuangalie mechi.
Mama Makinda nadhani atakuwa anazuia magoli tu, mengi sana yatafungwa, maana
wabunge wa CCM ambao mechi ndio timu Pinzani ni nani, who, & when,& how
wataweza kujibu najua hamna, nani? semeni, maana shoot moja tu, weka mpira kati gooooooooooal....!!!!!, hawa First eleven, ni sawa na wabunge 1000 wa CCM, tena si wale wa kulala,
Namuonea huruma Makinda
 
heko...............kwani makinda kawekwa na mafisadi na mwanzoni kabisa hajaamini km kuna ufisadi
 
heko...............kwani makinda kawekwa na mafisadi na mwanzoni kabisa hajaamini km kuna ufisadi

Makinda anatuona kama sisi hatuji, maneno yake ni tofauti we know this, maana mafisadi ndio wamemweka, atajua why kanga ( Guinea fowl) hana manyoya shingoni, aliponea kukatwa shingo.
 
Huko bungeni Makinda naona atalia, maana hii timu ya CHADEMA na coach wake
Dr Slaa inatisha, look these, all are strikers, defenders, Dr Slaa atakuwa kama
Sir Alex Ferguson, anpoint where to strike harder, na mm niko bench na wana JF wote
as reserves na kuhesabu magoli, hatushangilii maana ushindi tunao, hii list ni mwisho

1. Mbowe
2. Zitto
3. Tundu Lissu ( Chief whip)
4. John Mnyika
5. Halima Mdee
6. Wenje
7. Ndesa ( Mzee wa Chopa)
8. Regina Mtema
9. Kafulila ( huyu ni NCCR tumweke maana ni mpinzani wa kweli)
10.Mustafa Akoonay ( huyu ni moto utamwona ni Mwiraq, hacheki, ni mwanasheria
muulizeni Marmo)
11.Jose Selasini, Muulize Mramba atakueleza, mm na ww tutapoteza utamu
halafu Shibuda, kazi yake ni yeyote atakaye leta fujo, kiswahili, wanobisha magoli
tunamkabidhi, & Lema, pia karibu na bench la coach, wakina Kubenea, J. Ulimwengu
Tanzania Daima & Mwananchi watatoa glucose, First aid na advice fasta kwa wachezaji, na wana JF hapa watasaidia, hakuna mtu kukimbia uwanja, hadi kieleweke, hata magoli 100 funga tu, period
Hawa CUF i disregarded, omitted, deleted, ignored, not opposition, whatever name
u will give them, kwanza mbunge wa Znz unakuta anawakilisha watu kama wa kijiji
kidogo cha Bara, like nyumba kumi kumi, so i don't care, & are not strong in Laws, etc etc & don't ask me about CUF
tuwaache, sisi tuangalie mechi.
Mama Makinda nadhani atakuwa anazuia magoli tu, mengi sana yatafungwa, maana
wabunge wa CCM ambao mechi ndio timu Pinzani ni nani, who, & when,& how
wataweza kujibu najua hamna, nani? semeni, maana shoot moja tu, weka mpira kati gooooooooooal....!!!!!, hawa First eleven, ni sawa na wabunge 1000 wa CCM, tena si wale wa kulala,
Namuonea huruma Makinda

Hivi kweli una akili sawa sawa wewe ?, watu wenye mtaji wa wabunge zaidi ya 240 ulinganishe na watu wenye wabunge 47?, ha ha haaaaaaaa
 
Je, unamuona chief whip?????????????????? Makinda akimuwaza faraja yake ni kwa nduagi kufarijiana kwamba AC ataokoa jahazi!!Mr 6 ambaye angekuwa msaada tayari amebanwa kinywa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi kweli una akili sawa sawa wewe ?, watu wenye mtaji wa wabunge zaidi ya 240 ulinganishe na watu wenye wabunge 47?, ha ha haaaaaaaa


Nyie ndo wale wale!!!! hatuongelei uwingi hapa.. tunaangalia watu wanaoweza kujenga hoja na uwezo wa huyo spika kuhimili hoja za hao makamanda
 
Hivi kweli una akili sawa sawa wewe ?, watu wenye mtaji wa wabunge zaidi ya 240 ulinganishe na watu wenye wabunge 47?, ha ha haaaaaaaa

Najiulizaga sana, kwann CCM hata supportes kama ww, u r too low, old mind, unawaza idadi, sisi tunaongelea mental powers, hao 240 ni sawa na LIssu, quote me on that.
 
Hivi kweli una akili sawa sawa wewe ?, watu wenye mtaji wa wabunge zaidi ya 240 ulinganishe na watu wenye wabunge 47?, ha ha haaaaaaaa


hujui kwamba mbunge mmoja wa upinzani ni sawa na wabunge 400 wa ccm? we kweli bogas sijapata ona
 
Back
Top Bottom