Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,324
- 15,357
Huko bungeni Makinda naona atalia, maana hii timu ya CHADEMA na coach wake
Dr Slaa inatisha, look these, all are strikers, defenders, Dr Slaa atakuwa kama
Sir Alex Ferguson, anpoint where to strike harder, Mabere Marando coach msaidizi,
na mm niko bench na wana JF wote
as reserves na kuhesabu magoli, hatushangilii maana ushindi tunao, hii list ni mwisho
1. Mbowe
2. Zitto
3. Tundu Lissu ( Chief whip)
4. John Mnyika
5. Halima Mdee
6. Wenje
7. Ndesa ( Mzee wa Chopa)
8. Regina Mtema
9. Kafulila ( huyu ni NCCR tumweke maana ni mpinzani wa kweli)
10.Mustafa Akoonay ( huyu ni moto utamwona ni Mwiraq, hacheki, ni mwanasheria
muulizeni Marmo)
11.Jose Selasini, Muulize Mramba atakueleza, mm na ww tutapoteza utamu
halafu Shibuda, kazi yake ni yeyote atakaye leta fujo, kiswahili, wanobisha magoli
tunamkabidhi, & Lema, pia karibu na bench la coach, wakina Kubenea, J. Ulimwengu
Tanzania Daima & Mwananchi watatoa glucose, First aid na advice fasta kwa wachezaji, na wana JF hapa watasaidia, hakuna mtu kukimbia uwanja, hadi kieleweke, hata magoli 100 funga tu, period
Hawa CUF i disregarded, omitted, deleted, ignored, not opposition, whatever name
u will give them, kwanza mbunge wa Znz unakuta anawakilisha watu kama wa kijiji
kidogo cha Bara, like nyumba kumi kumi, so i don't care, & are not strong in Laws, etc etc & don't ask me about CUF
tuwaache, sisi tuangalie mechi.
Mama Makinda nadhani atakuwa anazuia magoli tu, mengi sana yatafungwa, maana
wabunge wa CCM ambao mechi ndio timu Pinzani ni nani, who, & when,& how
wataweza kujibu najua hamna, nani? semeni, maana shoot moja tu, weka mpira kati gooooooooooal....!!!!!, hawa First eleven, ni sawa na wabunge 1000 wa CCM, tena si wale wa kulala,
Namuonea huruma Makinda
Dr Slaa inatisha, look these, all are strikers, defenders, Dr Slaa atakuwa kama
Sir Alex Ferguson, anpoint where to strike harder, Mabere Marando coach msaidizi,
na mm niko bench na wana JF wote
as reserves na kuhesabu magoli, hatushangilii maana ushindi tunao, hii list ni mwisho
1. Mbowe
2. Zitto
3. Tundu Lissu ( Chief whip)
4. John Mnyika
5. Halima Mdee
6. Wenje
7. Ndesa ( Mzee wa Chopa)
8. Regina Mtema
9. Kafulila ( huyu ni NCCR tumweke maana ni mpinzani wa kweli)
10.Mustafa Akoonay ( huyu ni moto utamwona ni Mwiraq, hacheki, ni mwanasheria
muulizeni Marmo)
11.Jose Selasini, Muulize Mramba atakueleza, mm na ww tutapoteza utamu
halafu Shibuda, kazi yake ni yeyote atakaye leta fujo, kiswahili, wanobisha magoli
tunamkabidhi, & Lema, pia karibu na bench la coach, wakina Kubenea, J. Ulimwengu
Tanzania Daima & Mwananchi watatoa glucose, First aid na advice fasta kwa wachezaji, na wana JF hapa watasaidia, hakuna mtu kukimbia uwanja, hadi kieleweke, hata magoli 100 funga tu, period
Hawa CUF i disregarded, omitted, deleted, ignored, not opposition, whatever name
u will give them, kwanza mbunge wa Znz unakuta anawakilisha watu kama wa kijiji
kidogo cha Bara, like nyumba kumi kumi, so i don't care, & are not strong in Laws, etc etc & don't ask me about CUF
tuwaache, sisi tuangalie mechi.
Mama Makinda nadhani atakuwa anazuia magoli tu, mengi sana yatafungwa, maana
wabunge wa CCM ambao mechi ndio timu Pinzani ni nani, who, & when,& how
wataweza kujibu najua hamna, nani? semeni, maana shoot moja tu, weka mpira kati gooooooooooal....!!!!!, hawa First eleven, ni sawa na wabunge 1000 wa CCM, tena si wale wa kulala,
Namuonea huruma Makinda