Makinda kamtukana Jk na atamdhalilisha Pinda!!

Jamani watz mbona tunalalamika sana, hivi ni kweli kabisa mpaka leo hatujui nini cha kufanya? With all those case studies za kenya, tunisia na egypt, basi hatuna haja ya kuwa na milango ya fahamu.
 
Sijajua Mheshimiwa spika ana tatizo gani.Yupo defensive sana ! Hajiamini na hii itamuwia vigumu sana kuendesha bunge la kumi.Jana Tundu lissu aliomba mwongozo wa spika na kutokana na kanuni za kudumu za bunge kifungu cha 41 ambapo Kama kuna tatizo kubwa la kitaifa basi wabunge wataahirisha mijadala mingine yote wajadili tatizo liliopo.Lissu alitaka wabunge waachane na hoja wanazojadili waanze kujadili tatizo la mabomu Gongolamboto kwani ni tatizo kubwa la kitaifa kwa sasa.Namnukuu Raisi akisema kwamba Gongolamboto ndo ilikuwa stoo yao kubwa ya silaha.Pia watanzania zaidi ya 30 wamefariki.Ana makinda alitumia ubabe ku buypass hoja ya Lissu. Anatakiwa kuwa makini akitambuwa busara ni muhimu sana kwa wakati huu.
 
Wabunge wa CCM wote ni vilaza, kwa kumtosa Sitta na kumpa Makinda uspika ni sawa na kuuza AK 47 na kununua rungu ili kuimarisha ulinzi, bure kabisa wabunge wa CCM na mahawara zao wa kisiasa.
 
Anna makinda leo ktk bunge katupilia mbali madai ya TUNDU LISSU ya kutaka kanuni fulani ivunjwe ili kuruhusu bunge lijadili suala lililotokea Gongo la Mboto. Lakini kwa mshangao mkubwa mheshimiwa Spika wa bunge letu ametupilia mbali madai hayo akisema suala la gongo la mboto halina maslahi ya taifa. hii imeonesha waziwazi kuwa spika analinda maslahi ya Chama chake. Je hali hii itatupeleka popote?

...Mwepesi kusahau, mgumu kukumbuka! Walipoahirisha bunge ilikuwa ni kwa maslahi ya nani?

...Makinda anafikiri anaweza kuilinda ccm na serikali yake single handedly. Hawezi. Ndio kwanza anazidi kuliharibu. Watakaposhtuka, kama bado hawajashtuka, it'll be too late.
 
Hivyo vipaumbele kwa wanawake vina kazi gani km hawana uwezo km huyu mwana mama jeuli.........................ccm wataendelea kuvuna wanavyopanda sasa

[font=&quot]wengi tunafahamu jinsi mchakato wa kumpata mgombea uspika wa bunge kupitia ccm ulivyokwenda, ndani ya chama cha mapinduzi kulijitokeza baadhi ya viongozi kuuponda uongozi wa bunge uliopita kwamba ulikuwa mbovu na ulikuwa unakipeleka chama kusiko, mtakumbuka pia sababu alizotoa andrew chenge kwanini alilazimika kujiingiza katika mchakato wa kutaka kugombea nafasi hiyo nyeti, kwa kumbukumbu zangu andrew chenge aliulaumu uongozi wa sita kwamba haukua mzuri ndiyo ulioibua migongano mingi iliyopo ndani ya ccm na kupelekea wananchi kupunguza imani yao na ccm. [/font]

[font=&quot]sasa swali ninalo jiuliza kwasasa ni je huyu mwanamama anna makinda atatimiza ndoto za chama chake au ndo atakishushia hadhi yake kabisa? Huyu mwanamama alipitishwa na chama chake kwa kigezo kwamba kwasasa wanahitaji kutoa kipaumbele kwa mwanamke na sina uhakika sana kama walizingatia uwezo wa mtu. Nasema hivyo kwani nimegundua ni mapema sana huyu mama ameanza kufanya vitu nisivyokuwa ninavitegemea. [/font]

  1. [font=&quot]ikumbukwe hapa majuzi freeman mbowe alipomwomba waziri ngeleja aliambie bunge pamoja na watanzania wote, ni lini hasa mgawo wa umeme utakwisha na atoe tamko la serikali kuhusu tatizo hilo, wakati ngeleja akisimama kutaka kujieleza baada ya swali hilo, bila kujua nini ngeleja angeweza kuongea, makinda akaingilia kati na kumzuia asijibu hilo swali, alimtaka ngeleja kutafuta muda muafaka wa kujibu swali hilo akisema kuwa halitakiwi kujibiwa kwa haraka kutokana na kugusa zaidi masilahi ya taifa. Kwa tafsiri yangu ni kwamba makinda hamuamini ngeleja na hivyo aliamini angeweza kutoa tamko la serikali kwa kukurupuka na bila kulishirikisha baraza la mawaziri, kitendo cha kutokumuamini waziri ngeleja ni tusi kubwa kwa aliyemteua yaani kikwete.[/font]
  2. [font=&quot]achilia mbali uamuzi wake wa juzi kuhusiana na yeye kutaka uthibitisho kutoka kwa godbles lema dhidi ya waziri mkuu ili ifahamike kama waziri mkuu ni muongo au lah kwa mtazamo wangu hapa bila yeye kujua atamdhalilisha sana waziri mkuu pindi ikithibitika kwamba amelidanganya bunge na sijui atachukuliwa hatua gani. Mimi sifahamu .[/font]
[font=&quot]kwa dalili ninazoziona mimi nahisi ccm inaweza kudhalilika sana kipindi hiki kupitia spika makinda[/font]
 
I was even more than surprised kuona spika anamzuia waziri ngereja kujibu swali wakati ngereja ni waziri kamili sio naibu waziri na isitoshe ngereja alikwisha jiandaa kujibu. Nakumbuka kipindi cha sitta (samwel) mawazili walikuwa wanahimizwa kujibu maswali kwa ufasaha na sio kuleta bla bla. Leo wakati wa makinda mawazili wanaambiwa wajibu kwa kifupi na wengine wanaambiwa wasijibu! Kweli spika amepatikana. Nahisi mwaka huu wabunge watachapana ngumi.

...Hadhi ya bunge imeshuka. The whole institution is a laughing stock.
 
Lengo lao ilikuwa kumtoa Sita, na walifanikiwa. Haya mengine kwao sio muhimu so long as they have the numbers in the Parliament. Kwa CCM kuwa competent ni kosa kubwa, hutakiwi. Kinachotakiwa ni ujanjaujanja, kupindisha na kufunika mambo, and to them this mama is doing the best job and she will emerge as the best speaker ever. Inabidi muelewe kuwa mbingu yenu na ya ile ya CCM ni vitu viwili tofauti kabisa. Mnapodhania kwamba ni blunder kwao ndio the best performance. Kalaghabao!

...The best speaker ever, to whom?

...Kitila, acha utani. Napenda kuamini kuwa, unafahamu mambo yamebadilika sana siku hizi. Kwahiyo, huwezi peleka mambo kiujanjajanja, kupindisha, kufunika, etc, for that long. Yatafumuka tu. Huu ni mwaka wa burudani, tutaona mengi!
 
Kwa uhakika hao wa2 hawajiamini, kwao kinga ni bora kuliko tiba n that wat she did, CHAMA kwanza n en mengine yanafuatia
 
Wengi tunafahamu jinsi mchakato wa kumpata mgombea uspika wa Bunge kupitia CCM ulivyokwenda, ndani ya Chama cha mapinduzi kulijitokeza baadhi ya viongozi kuuponda uongozi wa Bunge uliopita kwamba ulikuwa mbovu na ulikuwa unakipeleka chama kusiko, mtakumbuka pia sababu alizotoa Andrew Chenge kwanini alilazimika kujiingiza katika mchakato wa kutaka kugombea nafasi hiyo nyeti, kwa kumbukumbu zangu Andrew Chenge aliulaumu uongozi wa Sita kwamba haukua mzuri ndiyo ulioibua migongano mingi iliyopo ndani ya CCM na kupelekea wananchi kupunguza imani yao na CCM.

Sasa swali ninalo jiuliza kwasasa ni je huyu mwanamama Anna Makinda atatimiza ndoto za chama chake au ndo atakishushia hadhi yake kabisa? Huyu mwanamama alipitishwa na chama chake kwa kigezo kwamba kwasasa wanahitaji kutoa kipaumbele kwa mwanamke na sina uhakika sana kama walizingatia uwezo wa mtu. Nasema hivyo kwani nimegundua ni mapema sana huyu mama ameanza kufanya vitu nisivyokuwa ninavitegemea.


  1. Ikumbukwe hapa majuzi Freeman Mbowe alipomwomba Waziri Ngeleja aliambie Bunge pamoja na Watanzania wote, ni lini hasa mgawo wa umeme utakwisha na atoe tamko la Serikali kuhusu tatizo hilo, wakati Ngeleja akisimama kutaka kujieleza baada ya swali hilo, Bila kujua nini Ngeleja angeweza kuongea, Makinda akaingilia kati na kumzuia asijibu hilo swali, alimtaka Ngeleja kutafuta muda muafaka wa kujibu swali hilo akisema kuwa halitakiwi kujibiwa kwa haraka kutokana na kugusa zaidi masilahi ya Taifa. Kwa tafsiri yangu ni kwamba Makinda hamuamini Ngeleja na hivyo aliamini angeweza kutoa tamko la serikali kwa kukurupuka na bila kulishirikisha baraza la mawaziri, kitendo cha kutokumuamini waziri Ngeleja ni tusi kubwa kwa aliyemteua yaani Kikwete.
  2. Achilia mbali uamuzi wake wa juzi kuhusiana na yeye kutaka uthibitisho kutoka kwa Godbles Lema dhidi ya Waziri mkuu ili ifahamike kama waziri mkuu ni muongo au lah kwa mtazamo wangu hapa bila yeye kujua atamdhalilisha sana Waziri mkuu pindi ikithibitika kwamba amelidanganya bunge na sijui atachukuliwa hatua gani. Mimi sifahamu .

Kwa dalili ninazoziona mimi nahisi CCM inaweza kudhalilika sana kipindi hiki kupitia spika Makinda


Mimi kinacho nikera!! nikwamba hata kama huyu mama atadhalilisha nchi yoooooote au dunia, nani nani na yupi atamfanya nini?? hivi ujiulizi hakuna anayeogopa kitu hapa TZ, ukiwa kiongozi wewe bingwa!!!
 
Acha ulimbukeni wewe...Tukiamua tunaweza...wizi ndo unaowafanya wasitoke madarakani...hiyo sisiem haina jipya


Yaani hakuna mahali pagumu pa kuishi kama TZ, Elimu haina thamani tena, kila kitu ni Siasa tu, muacheni mama makinda aseme anachosema, na afanye anachofanya, kwani hata yeye anajua ameingia pale aliko si kwakua ana vigezo bali ni baada ya kufanywa zengwe la kumuondoa S. Sitta, sasa kwanini asitende kadiri ya anavyo ona CCM inalindwa? km Ngeleja angeharibu??? yupo pale kulinda maslai ya CCM kama ambavyo amepewa kile kiti, afanye kama SItta aone??? we???
 
Yaani hakuna mahali pagumu pa kuishi kama TZ, Elimu haina thamani tena, kila kitu ni Siasa tu, muacheni mama makinda aseme anachosema, na afanye anachofanya, kwani hata yeye anajua ameingia pale aliko si kwakua ana vigezo bali ni baada ya kufanywa zengwe la kumuondoa S. Sitta, sasa kwanini asitende kadiri ya anavyo ona CCM inalindwa? km Ngeleja angeharibu??? yupo pale kulinda maslai ya CCM kama ambavyo amepewa kile kiti, afanye kama SItta aone??? we???

Mtoto Mzuri!!!

Lini uta amua??? ngoja nikupe mfano??? wanaopaswa kuleta mabadiliko hapa TZ ni cc wasomi? sijui mwenzangu uko level gani, lkn am telling you da truth...! Wasomi ndo mambumbumbu wakubwa hapa TZ, embu wewe mwenyewe ulipo hapo unayesema ukiamua unaweza, umesha amua au unasubiri jua likuchwe?
 
Back
Top Bottom