CCM kwenyewe yupo Makamba na Tambwe, Bungeni yupo Anna Makinda, Serikalini yupo JK mwenyewe. Wapinzani kwa miaka hii mitano washindwe tu wenyewe.[/QUOT
dah kweli....
Acha ulimbukeni wewe...Tukiamua tunaweza...wizi ndo unaowafanya wasitoke madarakani...hiyo sisiem haina jipya
Masahihisho kidogo Mzalendo. Ni Mama MAKINDA na siyo MAKIMBA kama ulivyoandika na kurudia mara kadhaa. Makimba kwa lugha ninayo ifahamu, japo sijui kama ni rasmi, yana maana isiyo nzuri sana.
Ni kweli kuwa CCM haitaondolewa na chama chochote kingine cha kisiasa. Ila wananchi wakiamua kikuondoa hakutakuwa na wa kukinusuru. Kosa kubwa wanalofanya CCM ni kudhani kuwa adui wao mkubwa ni vyama vya upinzani. Kumbe adui mkubwa wa CCM ni CCM yenyewe.
Kwa Bara sio rahisi kuiondoa CCM madarakani kwani wengi wa watu huko ni waoga na wanafiki. nafikiri labda itawezekana baada ya miaka isiyopungua ishirini.
Na kwanza CCM itaanza kuondolea zanzibar ndio Bara muweze.
fuateni nyayo za CUF zanzibar na mikakati yao. Kwani huo ni mbuyu inahitajika hekma ya hali ya juu sana kuing'oa
Nakushangaa sana hivi CDM na ww ukiwa ni kibaraka wao mna jipya ?
Kwa Bara sio rahisi kuiondoa CCM madarakani kwani wengi wa watu huko ni waoga na wanafiki. nafikiri labda itawezekana baada ya miaka isiyopungua ishirini.
Na kwanza CCM itaanza kuondolea zanzibar ndio Bara muweze.
fuateni nyayo za CUF zanzibar na mikakati yao. Kwani huo ni mbuyu inahitajika hekma ya hali ya juu sana kuing'oa
Una uhakika? Tanzania hakuna chama cha kukiondoa CCM madarakani
Du kweli jamaa yangu umesema, leo wabunge wamepewa 90m/= za ma VX/GX/V8 sisi tunagombana humu jukwaani na njaa zetu na matusi kibao.Nakushangaa sana hivi CDM na ww ukiwa ni kibaraka wao mna jipya ?
.......Kwa dalili ninazoziona mimi nahisi CCM inaweza kudhalilika sana kipindi hiki kupitia spika Makinda
Nimenukuu mstari huo hapo juu, Mimi nasema CCM haijaanza leo kudhalilika na kila siku inadhalilika, ila naona wametengeneza mazingira ya kudhalilisha UWEZO wa MWANAMKE zaidi kipindi hiki kwa kumpa huyo mama uspika.