Jina ni uamuzi wa mtu na kama Spika anataka aitwe kwa jina fulani na aitwe hivyo asitukanwe kwa kutumia haki yake!
Spika wa Bunge la Tanzania ametoa ufafanuzi kuhusiana na jina lake. Anasema jina lake ni Anne Makinda na wala sio Anna Makinda. Zaidi ya matamshi, kuna tofauti yoyote kati ya majina Anne, Ann, Anna na Hannah?
Hata JF hatuna watu. Tunakosa nini kwa yeye kutujuvya aitwe vipi? Si hasha hilo lilikuwa swali aliloulizwa na mwandishi.Duh, jina lake linatusaidia nini tena huyu mama kweli hatuna Spika. TZ kazi kweli kupata development.
Anna Makinda, kwani yeye njiwa?
Anne Makinda ndio sahihi kwa muono wangu.
Hata mimi nashangaa!Wakubwa wetu upuuzi, sisi wenyewe upuuzi tutafika wapi? Kama anaona jina ni issue na iwe hivyo kwake isiwe kwetu kiasi cha kutoleana kashfa.TOFAUTI NI NINI SASA?
nILIFIKIRI ANATAKA KUBADILI KUTOKA MAKINDA LIWE WATOTO WA NDEGE?
She's real an iron lady ! Go bless you anne makinda.
Spika wa Bunge la Tanzania ametoa ufafanuzi kuhusiana na jina lake. Anasema jina lake ni Anne Makinda na wala sio Anna Makinda. Zaidi ya matamshi, kuna tofauti yoyote kati ya majina Anne, Ann, Anna na Hannah?