utiyansanga
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 214
- 7
Wale jamaa wa ngoma za kienyeji kitoka Botswana wameletwa tena! kutafuta fedha za Watanzania .Hiki ni kielelezo kingine cha uduni wa fikra zetu!Ukichunguza kwa makini kinachofanywa na hili kundi si lolote si chochote ukilinganisha na ngoma zetu za kienyeji ...Kinachotusumbua hapa ni uduni wa fikra na kutojitambua .Muziki wa Tanzania ni bora sana hebu angalia vikundi kama Parapanda ,au MRISHO mPOTO,sisi tambala na wengine...JAMANI KUJIAMINI NA KUPENDA UTAMADUNI WETU NI HATUA MUHIMU KUELEKEA KWENYE UKOMBOZI WA KWELI.WATANZANIA TUAMKE!