Makeup lovers

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,902
Kwa wale wenzangu wanaopenda make up tuongelee products ambazo unatumia,tips na routines.

Ni product gani ambayo unapenda sana kuliko zote mfano me napenda bronzer
IMG_1443.JPG
IMG_1442.JPG
.
 
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.

Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
 
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.

Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...

Nliwahi kutumia cream to powder foundation ya black opal nzuri tu in truly topaz.
 
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.

Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...

Me natoa kwa cleanser alafu nafuta kwa wipes
IMG_2854.JPG
 
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.
Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Itabidi unifundishe dada akee hizo mambo zimenipita kushoto kidogo nimeridhika na ucheusi mangala wangu
 
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.

Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Unaogopa kuimeza ndotoni?
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom