Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.
Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.
Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Ni nzuri kwakweli,.nikikosa kidogo natumia revlon colourstayNliwahi kutumia cream to powder foundation ya black opal nzuri tu in truly topaz.
Oh yeah...ni nzuri ukipata ogMe natoa kwa cleanser alafu nafuta kwa wipes View attachment 1141351
Ni nzuri kwakweli,.nikikosa kidogo natumia revlon colourstay
Ipi dear unataka ijaribu??Nataka nijaribu nimeskia good reviews zake ila natakiwa ninunue 2 shade mana rangi yangu ipo in between toast and caramel
Ipi dear unataka ijaribu??
Oh yeah...ni nzuri ukipata og
Lipstick/lipgloss - dose of colour
Foundashion - Mac
Highligh & contour --Anastasia bravely hills
Powder - Mac
Mac studio fix fluid is bomb napakaa nc45 na concealer nc42
Anastasia natumia pomade yao, umejaribu amrezy highlighter?
Itabidi unifundishe dada akee hizo mambo zimenipita kushoto kidogo nimeridhika na ucheusi mangala wanguMimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.
Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Unaogopa kuimeza ndotoni?Mimi siku hizi nimekuwa situmii sana make-up nadhani kwa "necha ya kazi yangu" lakini nina products za black-opal kwa table yangu ya chumbani,.
Na huwa natumia kwa mitoko hasa ya jioni kama sherehe hivi,na huwa naitoa kwa kutumia mafuta halisi ya nazi kwa kutumia pamba laini....ni mwiko kwangu kulala na make-up...
Na ulivyong'aaaaaa hapo kwa avatar wow...baki hivyohivyoItabidi unifundishe dada akee hizo mambo zimenipita kushoto kidogo nimeridhika na ucheusi mangala wangu
Ngozi haipumui jomoniiiUnaogopa kuimeza ndotoni?
Itabidi unifundishe dada akee hizo mambo zimenipita kushoto kidogo nimeridhika na ucheusi mangala wangu
Ukiwa umepaka mchana huwa inapumuaje?Ngozi haipumui jomoniii
Hapana sijajaribu
Ni nzuri? Nionyeshe sample