mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,691
- 105,685
Wababa Wanakuwa kwenye mishe zingineWababa wana kuwa wapi wamama wakipiga mzigo?
Siunajua kwenye mashamba ya Chai wamama ndiyo hupendelea zaidi
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Wababa Wanakuwa kwenye mishe zingineWababa wana kuwa wapi wamama wakipiga mzigo?
Konyagi amekuwa mkombozi wakoeNlifika lutindi,kana,tamota,kiete,bungu,
Nkaenda hadi masange....nikapanda juu kbisa milima ile huko ni balaaa Sema wabishi sisi popote kambi tuna survive
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulikuwa mkuu maana watu wanakunywa konyagi mwitu tena inayotokana na miwa balaa
Tahathari mkuu usijetumia sana hiyo kitu ukaunguza main maana kwenye baridi stim hazipandi kabisaKama ulikuwa mkuu maana watu wanakunywa konyagi mwitu tena inayotokana na miwa balaa
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlikuwa natumia bia yao wanaita boha inatakana na miwa chupa wanauza 200/ tuTahathari mkuu usijetumia sana hiyo kitu ukaunguza main maana kwenye baridi stim hazipandi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
ya mafinga cha mtoto kwa njombe-maketeMkuu Mufindi sijafika japo nimepita sana Mafinga nahisi panafanana sana kwa hali ya hewa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo maziwa fresh unayachemsha na jutaweka juu ya meza yana kata wiki bado yako freshMkitaja maeneo semeni Na degree zake za baridi sio baridi la kufikilika.anyway njombe apo au mufindi Ngoma inafik Adi centigrade 4
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha mkuu Soso J bila shaka unapajua vizuri kabisa makete na Kata yangu ya Lupalilo
Mago,Ilevelo,ugabwa,Kisinga,ndulamo,iwawa n.k
Ila sitapasahau USUNGILO kiboko ya magari kukwama
Sent using Jamii Forums mobile app
...Aiseee "" makete nimefika huko ni balaaa "" wananchi wahuko wote hakuna mweupe " ukiona mweupe huko basi ujue ni mgeniNimekaa Mufindi,Johns Conner (Mafinga) Njombe, Lushoto, Iringa Makete inaongoza namba2 Njombe na Mufindi watu wakiamka asubui wanaamka na blanketi Lushoto barid inaanza kumi jioni. Mufindi ukiamka asubui ukungu huoni mbali.Ofisi za serikaki zilikuwa na majiko ya mkaa sijui siku hizi ile shule yavmsingi inaitwa kibaoni kila mwanafunzi alikuwa na kopo la kuota shuleni. Unaweza usioge siku 3. Nyumba za serikali sebuleni walijenga sehemu ya kuotea moto.
Makete kuna wakati takwimu zilionyesha inaongoza kwa HIV. Nadhani ktk mambo ya kutafuta joto
Umefika Chatto?Makete" hatari sana " hakuna mfanowe " nimekwenda kule ".. aise ni balaaa
Kwa hakika Makete kuna baridi sana. Hakuna sehemu, au kwa uhakika zaidi, makao makuu ya wilaya au mkoa Tanzania kwenye baridi zaidi ya Makete...A,alleykum
Wadau katika maeneo yoote nilikwisha kutembelea katika nchi hii,nimejiridhisha kuwa wilaya ya MAKETE iliyoko mkoani Njombe ndio sehemu yenye baridi zaidi nchini Tanzania.
Hebu na ww tuambie ni sehemu gani unahisi ina baridi kushinda wilaya hii ya maker.
Hebu tazama hii ni hali ya kawaida katika wilaya hii kuanzia mwezi Juni-Agosti kukuta nyasi zote zimefunikwa na barafu na jua likishakolea na barafu kuyeyuka basi nyasi huonekana kama zimeungua.
Sincerely, Bachelor Sugu.View attachment 845768
Sent using Jamii Forums mobile app