Make Kilimanjaro great again Serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa

Kuna watu wa kuwashukuru
1. Wamisionari waliojenga shule
2. Viongozi wa kisiasa wa mwanzoni akiwemo Msuya, Mramba, Mrema na wengine waliopeleka lami na umeme kwenye migomba.
Hata Nyerere angekuwa mbinafsi sasa hivi Butiama ingekuwa kama Masaki
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa

Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku

Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka

Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana

Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua

Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji

Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
 
Kuna watu wa kuwashukuru
1. Wamisionari waliojenga shule
2. Viongozi wa kisiasa wa mwanzoni akiwemo Msuya, Mramba, Mrema na wengine waliopeleka lami na umeme kwenye migomba.
Hata Nyerere angekuwa mbinafsi sasa hivi Butiama ingekuwa kama Masaki
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa

Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku

Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka

Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana

Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua

Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji

Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
 
Kuna watu wa kuwashukuru
1. Wamisionari waliojenga shule
2. Viongozi wa kisiasa wa mwanzoni akiwemo Msuya, Mramba, Mrema na wengine waliopeleka lami na umeme kwenye migomba.
Hata Nyerere angekuwa mbinafsi sasa hivi Butiama ingekuwa kama Masaki
KNCU huioni ama? Kuna vyama vingapi vya ushirika? Kule kahe tu watu wanajenga lami kwa michango yao wenyewe kwa sasa. Acha uongo wako. Mashule yenyewe huyo Nyerere sindo alizitaifisha?
 
Shule nyingi za zamani zilijengwa na wamisionari wazungu
KNCU huioni ama? Kuna vyama vingapi vya ushirika? Kule kahe tu watu wanajenga lami kwa michango yao wenyewe kwa sasa. Acha uongo wako. Mashule yenyewe huyo Nyerere sindo alizitaifisha?
 
Shule nyingi za zamani zilijengwa na wamisionari wazungu
Tuachane na hizo za wamishenari... unaijua idadi ya mashule yaliyopo ya wamiliki binafsi kwa sasa? Achilia mbali ya mashirika ya kitawa na brothers?

Na kama ndo sababu, mbona kungine kuna mashule ila hamtaki kwenda shule munawaomba walimu wawafelishe watoto wenu ili waolewe?
 
Mimi Arusha ndio nyumbani ila naona badala ya kujitenga ;

Kwanini tusiwe na serikali moja ya URT halafu tuongeze nchi kama Burundi na Rwanda ziwe mikoa yetu pia tuwalete na wakomoro.

Halafu kidogo kidogo tupanuke tukiwazia kuwa na Taifa moja la Afrika.

Yaani United States of .

Yaani Afrika iwe na Rais mmoja, Currency moja, Jeshi Moja. Tutafika huko siku moja.
Halafu rais atakuwa nani?
 
Make Kilimanjaro great again serikali za majimbo ziruhusiwe tunacheleweshwa kiuchumi

Hebu imagine kwa wale wa Kilimanjaro tumepambana hadi tumefika mbali bila utegemezi wa serikali na tupo hapa

Huo uchumi wa kati wanaozungumzia tulifika miaka ya 70 huku

Wao wanajenga shule za kata, sijui elimu bure sijui madawati sisi hizo shule zipo miaka 100 sasa yaani ccm bwana

Ni wakati wa sisi kufika uchumi wa level za dubai au majimbo ya marekani huko au Qatar

Naunga mkono uwepo wa serikali za majimbo like Kenya au marekani, sasa uchague upande wa one nation utaifa ambao ni kubaki maskini au kuchagua mfumo wa majimbo ambao unaleta maendeleo ya haraka

Ukomunist umeiharibu nchi yetu sana, ccm imeifanya nchi hii kubaki maskini sana

Kwanza Kilimanjaro na Arusha kabla ya ukoloni yalikua majimbo huru na yenye viongozi,mamlaka na serikali yenye nguvu, tungekua level za Marekani sahivi ni hizi mambo ya utaifa, utanganyika viliturudishwa nyuma japo tupo mbali kwangu naona bado tunahitaji tupambane hadi kuifikia dubai sisi hatuna haja wala hatuhitaji sapoti ya govt maana hawajawahi kutusaidia chochote zaidi ya kuturudisha nyuma tu, na kutubagua

Wakati mwingine nawazaga tugawane tu kila mtu na maisha yake maana mara huyu ajengwe liuwanja kijijini kwake,mara afanye vile huku watu hawana maji, mara wengine wakumbwe na matetemeko rambirambi zichukuliwe wanyimwe zikanunulie sijui mandege mabovu, haya halmashauri pesa zote zinaenda serikali kuu sahv halmashauri hazina pesa halaf hizo pesa hazirudi tena kwa halmashauri zinajenga midaraja tu,mindege na kujenga uwanja kijijini kwake huku watu hawana maji

Ukiwaza haya mambo utaona umuhimu wa serikali za majimbo kuliko ccm
Ili tuwe km Ethiopia?
 
Hatuibi tunapiga kaz ndio maana Kilimanjaro Ni mkoa wa kimaendeleo,endelea kuchunga mbuz tu
Povu lote lá nini? Kajenge kwenu na wew uringe, MTU KWAO
Hivi unaelewa maana ya Mada hii au mnajirukia tu km mbuzi wa kisusuio na baadae Ndafu wewe kwanini unajenga kwenye Jimbo la wenzako unaacha kujenga unakotaka kujitenga? mleta anataka Majimbo wewe na

Freyzem

mnashabikia wakati ni washona viatu ndio mliomponza Mrema na mbowe kwanini mnaleta Mada ya majimbo wakati kwenu hapatoshi. kaeni Kishimundu na Machame mjikite na Jimbo lenu, hii ni mada ya 5 mwezi huu mnajitapa ndio maana nikasema mnawaharibia wenzenu na Sera za Majimbo kwanini msiache ukabila
nyie mnajibu upotolo
 
Wachaga mkiwa mjini Mzizima mna mbwembwe sana lakini kiuhalisia mnasafiri kwa treni na kulala kwenye mapagale.
Nadhani sasa umemuelewa!
waelezeee kuchamba kwingi mwishowe wanatoka na kinyesi, wametapakaa kila kona na wamekaribishwa kila kona lkn kutoa kiwanja huko Narumu au Kishimundu kwa Mkurya au Msukuma hawakubali
sasa nimewaelewa
 
Kila Kona wasemwe wao bado hawajitambui?
1609058640488.png
 
Kuna watu wa kuwashukuru
1. Wamisionari waliojenga shule
2. Viongozi wa kisiasa wa mwanzoni akiwemo Msuya, Mramba, Mrema na wengine waliopeleka lami na umeme kwenye migomba.
Hata Nyerere angekuwa mbinafsi sasa hivi Butiama ingekuwa kama Masaki
Nyie mlikuwa wapi kusoma?
Si mlikuwa mnachunga mbuz?
Na sasahv Kilimanjaro inavyofanya vizur kielimu nk Ni kina mramba?
 
Shule nyingi za zamani zilijengwa na wamisionari wazungu
Kncu pia imejenga nyingi na ilikuwa na nguvu mno, wachaga wamepanda ndege kabla hata ya Uhuru,nyerere alikuwa akipewa nauli na kina aikael mbowe kwenda un kudai uhuru upo?
 
Tuachane na hizo za wamishenari... unaijua idadi ya mashule yaliyopo ya wamiliki binafsi kwa sasa? Achilia mbali ya mashirika ya kitawa na brothers?

Na kama ndo sababu, mbona kungine kuna mashule ila hamtaki kwenda shule munawaomba walimu wawafelishe watoto wenu ili waolewe?
Akijibu ni tag
 
Hivi unaelewa maana ya Mada hii au mnajirukia tu km mbuzi wa kisusuio na baadae Ndafu wewe kwanini unajenga kwenye Jimbo la wenzako unaacha kujenga unakotaka kujitenga? mleta anataka Majimbo wewe na

Freyzem

mnashabikia wakati ni washona viatu ndio mliomponza Mrema na mbowe kwanini mnaleta Mada ya majimbo wakati kwenu hapatoshi. kaeni Kishimundu na Machame mjikite na Jimbo lenu, hii ni mada ya 5 mwezi huu mnajitapa ndio maana nikasema mnawaharibia wenzenu na Sera za Majimbo kwanini msiache ukabila
nyie mnajibu upotolo
Wewe huelew kitu Kwan huruhusiw kuwekeza popote? Sisi tunawekeza popote hatujafungia akili zetu kwenye kibuyu Kama wewe
 
waelezeee kuchamba kwingi mwishowe wanatoka na kinyesi, wametapakaa kila kona na wamekaribishwa kila kona lkn kutoa kiwanja huko Narumu au Kishimundu kwa Mkurya au Msukuma hawakubali
sasa nimewaelewa
Akili ni nywele
 
waelezeee kuchamba kwingi mwishowe wanatoka na kinyesi, wametapakaa kila kona na wamekaribishwa kila kona lkn kutoa kiwanja huko Narumu au Kishimundu kwa Mkurya au Msukuma hawakubali
sasa nimewaelewa
Hatujakaribishwa,tumenunua hata wewe ukiwa na hela unanunua popote
Endelea kutokwa povu
 
Back
Top Bottom