Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,471
- 46,002
Inakadiriwa karibia nusu(47%) ya wakazi wote katika miji na majiji Africa chini ya jangwa la Sahara wanaishi katika makazi duni sana au slums ambayo yana msongamano mkubwa, yamejengwa hovyo bila mpangilio na yenye huduma mbovu za mifumo ya maji safi na maji taka. Tandale, Manzese, sehemu za Mbagala, Kimara, Tegeta ni baadhi ya mifano ya sehemu za au zenye makazi duni.
Uongezekaji wa watu kwa kasi kuhamia katika miji na majiji haya ya Africa unasemwa kwamba unazidisha zaidi hali mbaya ya matatizo ya makazi duni ambayo tayari ipo kwa muda sasa.
Ukuaji wa kasi wa idadi ya watu Africa ni janga linaloendelea kuharibu na kuvuruga maendeleo na hali za kimaisha, unahitaji jitihada za dhati kudhibitiwa.
Uongezekaji wa watu kwa kasi kuhamia katika miji na majiji haya ya Africa unasemwa kwamba unazidisha zaidi hali mbaya ya matatizo ya makazi duni ambayo tayari ipo kwa muda sasa.
Ukuaji wa kasi wa idadi ya watu Africa ni janga linaloendelea kuharibu na kuvuruga maendeleo na hali za kimaisha, unahitaji jitihada za dhati kudhibitiwa.