Makato yameanza kwa wanaolipia kwa Tigo Pesa

Wanakataje hebu weka ufafanuzi
Mfano; unahamisha shs 200,000/= kutoka airtel money kwenda lipa kwa Tigo wanakata shs 800/=...ikifika tena kwenye lipa kwa tigo wanakata 2,200/=
 
Mfano; unahamisha shs 200,000/= kutoka airtel money kwenda lipa kwa Tigo wanakata shs 800/=...ikifika tena kwenye lipa kwa tigo wanakata 2,200/=
Oya hawa ma ofsa watatuua sasa kama kila chaka tunaliongia wanatusanukia

Ila nimeskia kwamba hayo makato yana depend na mazingira, mfano kama till yako ya uwakala ulii register kwa nida ambayo hiyo hiyo nida uliitumia kutengeneza lipa number basi automatic detectors zina sense kama fraud na hapo ndio unakatwa
 
Kindly note we have introduced charges to merchants with below criteria’s;

 They have the same NIDA ID for both Wakala and Merchant registration
 They have serviced more than 15 customers with more than 70% from other Networks
 The distance between the Wakala and Agents is less than a kilometer.

These merchants are doing cash-out using Lipa kwa simu service. This is chargeable as from now on.

Below is the answers to the FAQs

1. Question:
Why do I get charged when I receive money from customer?

Answer:
We have seen that you are not using merchant till for payments as intended instead you are using it to do cash-out transactions, Cash-out transaction is chargeable that is why we do charge your transactions.

2. Question:
What can I do for me to not being charged?

Answer:
Keep using merchant till number for payment of goods and services as per the initial intention.

Please take note and inform our teams accordingly
 
Oya hawa ma ofsa watatuua sasa kama kila chaka tunaliongia wanatusanukia

Ila nimeskia kwamba hayo makato yana depend na mazingira, mfano kama till yako ya uwakala ulii register kwa nida ambayo hiyo hiyo nida uliitumia kutengeneza lipa number basi automatic detectors zina sense kama fraud na hapo ndio unakatwa
wamemwaga mboga! haya hatuna ujanja tena

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
We mbona mi jana nimetoa hela kwa wakala kwa njia ya lipa fresh tu
mm sms nimetumiwa saa8 mchana kwmbaa kuna mabadiliko huko na kweli yapo tu yakutosha kuna ada ile kwa mteja imeongezwa na kwa upande wetu tukitaka kuzitoe izo pesa kwenye lipa yetu mwisho ni 49999 ikizd hapo tunatozwa ada wakat mwanzo hadi mil10 ilikuwa bure kuitoa

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
mm sms nimetumiwa saa8 mchana kwmbaa kuna mabadiliko huko na kweli yapo tu yakutosha kuna ada ile kwa mteja imeongezwa na kwa upande wetu tukitaka kuzitoe izo pesa kwenye lipa yetu mwisho ni 49999 ikizd hapo tunatozwa ada wakat mwanzo hadi mil10 ilikuwa bure kuitoa

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Aisee mbona kasheshe
 
Back
Top Bottom