Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Ukihamisha fedha naona makato yamekuwa makubwa sana katika mitandao ya simu, mfano laki mbili na nusu wanakata elfu tano Jambo ambalo nitofauti na gharama za zilizokuwa zikitozwa kipindi Cha nyuma.
Je, gawio, Kodi na faini za mahakamani zinaweza kuwa zimechangia hili? Kwamba tumepokea faini la bilioni tano halafu mtoaji ndani ya mwezi anarejesha pesa hiyo na faida juu .......au mimi ndo naona hizi gharama nikubwa?
Je, gawio, Kodi na faini za mahakamani zinaweza kuwa zimechangia hili? Kwamba tumepokea faini la bilioni tano halafu mtoaji ndani ya mwezi anarejesha pesa hiyo na faida juu .......au mimi ndo naona hizi gharama nikubwa?