Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,503
- 12,166
Leo nimeshindwa kutoa pesa naona Ada imepanda kutoka 2,700/- hadi 4,135/- na tozo imepungua kutoka 2,050/- hadi 1,435/-.
Kwa hesabu za haraka jumla ya makato yalikuwa 4,750/- kwa kutoa 55,000/- sasa ni 5,570/-
Au ukiwa kijijini Njombe kuna makato tofauti?!
Kwa hesabu za haraka jumla ya makato yalikuwa 4,750/- kwa kutoa 55,000/- sasa ni 5,570/-
Au ukiwa kijijini Njombe kuna makato tofauti?!