Makato ya 15% Bodi ya Mikopo: Watumishi wengi wa umma hawakopesheki kwenye benki

Mdakuzi mkuu

JF-Expert Member
Dec 27, 2016
212
719
Habarini ndugu wajumbe.

Tujikumbushe kidogo makato kwa mtumishi wa umma:

Kodi (Tax) = 12%

Mifuko ya Hifadhi ya jamii = 5%

Mfuko wa bima ya afya = 3%

Bodi ya Mikopo (HESLB) = 15%

Vyama vya wafanyakazi (TUGHE, CWT nk) = 2 %

JUMLA YA MAKATO YOTE = 37%.

Kinachobaki ndo take home yako au kwa jina lingine "Ujira wa Mwiha".

Ili uweze kukopesheka kwenye taasisi za benki (hata hapa kwetu CRDB), theluthi moja (1/3) ya mshahara wako lazima ubaki baada ya benk kuchukua makato yao ya kila mwezi.

Mfano:

Mtumishi mwenye mshahara (Gross Salary) ya 700,000 TZS,take home yake ni 700,000 toa (700,000 x 37%)

= 700,000 - 259,000 = 441,000

Theluthi moja (1/3) ya 441,000 = 132,300

Baki yako ni 308,700 >>>>> hi ndo benk watadeal nayo.

Kufa hatufi
 
Habarini ndugu wajumbe.

Tujikumbushe kidogo makato kwa mtumishi wa umma:

Kodi (Tax) = 12%

Mifuko ya Hifadhi ya jamii = 5%

Mfuko wa bima ya afya = 3%

Bodi ya Mikopo (HESLB) = 15%

Vyama vya wafanyakazi (TUGHE, CWT nk) = 2 %

JUMLA YA MAKATO YOTE = 37%.

Kinachobaki ndo take home yako au kwa jina lingine "Ujira wa Mwiha".

Ili uweze kukopesheka kwenye taasisi za benki (hata hapa kwetu CRDB), theluthi moja (1/3) ya mshahara wako lazima ubaki baada ya benk kuchukua makato yao ya kila mwezi.

Mfano:

Mtumishi mwenye mshahara (Gross Salary) ya 700,000 TZS,take home yake ni 700,000 toa (700,000 x 37%)

= 700,000 - 259,000 = 441,000

Theluthi moja (1/3) ya 441,000 = 132,300

Baki yako ni 308,700 >>>>> hi ndo benk watadeal nayo.

Kufa hatufi


kwenye tax hapo ni 30% bana
 
Back
Top Bottom