peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,774
- 21,330
Mada inahusika. Makatibu wa CCM wa wilaya nchi Tanzania, wamehamishwa kwenye vituo vyao vya kazi na wamegoma kuripoti kwenye vituo vipya walivyopangiwa.
Sambamba na hilo wakatibu zaidi ya 30 wamepangiwa kazi zingine jambo ambalo hawakubaliani nalo na wamediriki kutoa rushwa Ili wapangiwe tena nafasi walizokuwa nazo awali Za ukatibu wa ccm wilaya. Ccm ijitafakari inaangamizwa na rushwa Za ndani kwa ndani.
Sambamba na hilo wakatibu zaidi ya 30 wamepangiwa kazi zingine jambo ambalo hawakubaliani nalo na wamediriki kutoa rushwa Ili wapangiwe tena nafasi walizokuwa nazo awali Za ukatibu wa ccm wilaya. Ccm ijitafakari inaangamizwa na rushwa Za ndani kwa ndani.