Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,314
- 33,108
Nitatoa makatazo kidogo juu ya uchanganyishaji wa vyakula tofauti kwa wakati mmoja, kwani kuna baadhi ya vyakula ukichanganya (kula) kwa wakati mmoja huleta maradhi makubwa. Inshallah Mola atunusuru.
1.Mwenye kukusanya (kula) pamoja mayai na samaki hupata ugonjwa wa kiharusi na kupoza kwa viungo, kwahivo ni vibaya sana kula mayai na samaki kwa wakti mmoja.
2.Mwenye kula samaki na maziwa kwa wakati mmoja hupata ugonjwa wa ukoma na mabalaga.
3.Mwenye kukoga baada kula (kushiba) mtu kupata nimonia, kwani wakati wa kula hizi tundu zetu za jasho hujifungua, na wakati huo huo baada kula ukaenda kukoga basi maji huingia ndani ya mwili na kuweza kusababisha maradhi ya nemonia au pia kupooza kwa viungo
4. Mwenye kula Samaki fresh halafu na baada yake akaenda kukoga maji ya baridi husababisha maradhi ya kupooza.
5.Mwenye Kufanya tendo la ndoa (Sex) bila kutoa manii hii husababisha vijiwe katika kibofu cha mkojo, na ni lazima ukishamaliza tendo la ndoa (Sex) ukojoe japo kidogo.
6.Mwenye kumuingilia (kufanya tendo la ndoa) mwanammke mwenywe hedhi husababisha kupata maradhi ya ukoma.
7.Mwenye kuota (akatokwa na manii )asikoge, na baadae akafanya tendo la ndoa na mkewe, husababishwa kuzaliwa kwa mtoto mwendawazimu au mtoto aliepumbaa.
Dumisha afya yako kwa kuacha uvivu na pia kujaza tumbo (chakula na vinyaji), Mtume S.A.W amesema kunywa pale unapoona kiu, kula pale unapoona njaa na pia usile ukashiba ila ule ili uondoe ile njaa na kiu ilokuwa nayo kwani nyumba ya maradhi ni kulijaza tumbo.
Kunywa maji unapokua na kiu , kula chakula cha mchana na ujishoonye kidogo baada kula, na kula chakula cha usiku na utembee kidogo kiasi hatua mia kabla ya kulala pia uende chooni kabla ya kulala, na ni lazima mtu ale chakula cha usiku japo kidogo kwani kutokula chakula cha usiku kunazeesha..
Tabibu ambae aliishi wakati wa Mtume S.A.W Al Harith Kalda alisema mambo manne hudhuru kiwiliwili nayo ni:-
Jimai Sex(Kufanya tendo la ndoa) ikiwa umeshiba kwahivo haifai kufanya tendo la ndoa baada ya kula lazima usubiri chakula kisagike ndipo
ufanye tendo la ndoa, kukoga baada ya kula tu, kula Qadid (nyama iliyokaushwa kwa jua) na pia kufanya tendo la ndoa na vizee.Kabla ya kufa tabibu huyu aliwakusanya watu wake na kuwapa maelezo yatakayowafaa nayo aliwaambia kuwa: Msioe wanawake ila wale waliokuwa shababu
yaani wenywe umri mdogo, wala msile tunda ila lilowiva na jitahidini kusafisha maida kila mwezi kwani hutoa balaghamu, pia aliwaambia msile dawa ila mkiwa wagonjwa, wala msile chakula ila mkitafune sana mpaka kiwe laini, wala msizuie mkojo wala usile chakula ikiwa huna njaa na
tahadhari kula ambacho meno yako hayawezi kutafuna ili maida yako isije kushindwa kufanya kazi,na wala usifanye tendo la ndoa ukiwa huna hamu ya kulifanya, na la muhimu zaidi usitoe damu yako bila sababu ya msingi.
Mambo matano hudhoofisha kiwiliwili:-
Kufanya tendo la ndoa kwa sana, kuwa na hamu nyingi au kujitamanisha, kunywa maji mengi kabla ya kula, na kula sana vitu vikali mfano embe mbichi nakulala usingizi mwingi
Mambo manne hutia unyonge macho:
Kutizama mambo machafu, kUtizama aliyesulibiwa, kutizama tupu ya mwanammke, kukaa ukawa umeipa maungo kibla.
Mambo matatu huzidisha akili:
Kuacha maneno mengi (Hadithi ya Mtume inasema: Ni bora kukaa kimya ukiwa huna maneno ya maana), Kupigwa mswaki mara kwa mara, na kukaa na wanazuoni na watu wema.
Mambo matano hukondesha au hata kuua:
Kua mkono mtupu (huna kitu), Kufarikiana au kutengana na uwapendao, Kumeza machungu au kuvumilia machungu, Kukataa nasaha, na kucheka watu wenye akili.
Mambo yanayotia nguvu kiwiliwili:
Kuvaa nguo laini kwa mfano kanzu, kula chakula kizuri, na kunukia harufu nzuri.. hii kunukia kwa wanawake sio kwamba wajitie manukato watokapo njee laah! hii yaani kuwa msafi kutonuka jasho na mambo mengine mengine na kama unataka kunukia manukato basi uwe upo nyumbani tu.
Mambo manne huleta rizki:
Kufanya ibada usiku, kuleta istighfaar kwa wingi, kuzoea kutoa sadaqa, na Kumtaja Allah S.W mwanzo wa siku na mwisho wa siku.
Mambo manne yanayozuia rizki:
Usingizi wa asubuhi, Kufanya ibada kwa uchache, Wivu/chuki, na Khiyana..
Kufanya uchache katika kitu chenye kudhuru ni bora kuliko kufanya wingi cha kitu chenye kufaa.
Kwahivo tujitahidini kuyaacha hayo mambo madogo madogo yanayosababisha maradhi makubwa mno. Kwani afya ni neema kubwa alituruzuku Mola wetu, mtu haithamini afya yake mpaka pale ugonjwa utakapompata ndio hujui neema ya afya.
HAYA NDIO MAUSIA YANGU MAKUU UKIYAFUATA MARADHI YATAKUWA MBALI NA WEWE INSHALLAH...
1.Mwenye kukusanya (kula) pamoja mayai na samaki hupata ugonjwa wa kiharusi na kupoza kwa viungo, kwahivo ni vibaya sana kula mayai na samaki kwa wakti mmoja.
2.Mwenye kula samaki na maziwa kwa wakati mmoja hupata ugonjwa wa ukoma na mabalaga.
3.Mwenye kukoga baada kula (kushiba) mtu kupata nimonia, kwani wakati wa kula hizi tundu zetu za jasho hujifungua, na wakati huo huo baada kula ukaenda kukoga basi maji huingia ndani ya mwili na kuweza kusababisha maradhi ya nemonia au pia kupooza kwa viungo
4. Mwenye kula Samaki fresh halafu na baada yake akaenda kukoga maji ya baridi husababisha maradhi ya kupooza.
5.Mwenye Kufanya tendo la ndoa (Sex) bila kutoa manii hii husababisha vijiwe katika kibofu cha mkojo, na ni lazima ukishamaliza tendo la ndoa (Sex) ukojoe japo kidogo.
6.Mwenye kumuingilia (kufanya tendo la ndoa) mwanammke mwenywe hedhi husababisha kupata maradhi ya ukoma.
7.Mwenye kuota (akatokwa na manii )asikoge, na baadae akafanya tendo la ndoa na mkewe, husababishwa kuzaliwa kwa mtoto mwendawazimu au mtoto aliepumbaa.
Dumisha afya yako kwa kuacha uvivu na pia kujaza tumbo (chakula na vinyaji), Mtume S.A.W amesema kunywa pale unapoona kiu, kula pale unapoona njaa na pia usile ukashiba ila ule ili uondoe ile njaa na kiu ilokuwa nayo kwani nyumba ya maradhi ni kulijaza tumbo.
Kunywa maji unapokua na kiu , kula chakula cha mchana na ujishoonye kidogo baada kula, na kula chakula cha usiku na utembee kidogo kiasi hatua mia kabla ya kulala pia uende chooni kabla ya kulala, na ni lazima mtu ale chakula cha usiku japo kidogo kwani kutokula chakula cha usiku kunazeesha..
Tabibu ambae aliishi wakati wa Mtume S.A.W Al Harith Kalda alisema mambo manne hudhuru kiwiliwili nayo ni:-
Jimai Sex(Kufanya tendo la ndoa) ikiwa umeshiba kwahivo haifai kufanya tendo la ndoa baada ya kula lazima usubiri chakula kisagike ndipo
ufanye tendo la ndoa, kukoga baada ya kula tu, kula Qadid (nyama iliyokaushwa kwa jua) na pia kufanya tendo la ndoa na vizee.Kabla ya kufa tabibu huyu aliwakusanya watu wake na kuwapa maelezo yatakayowafaa nayo aliwaambia kuwa: Msioe wanawake ila wale waliokuwa shababu
yaani wenywe umri mdogo, wala msile tunda ila lilowiva na jitahidini kusafisha maida kila mwezi kwani hutoa balaghamu, pia aliwaambia msile dawa ila mkiwa wagonjwa, wala msile chakula ila mkitafune sana mpaka kiwe laini, wala msizuie mkojo wala usile chakula ikiwa huna njaa na
tahadhari kula ambacho meno yako hayawezi kutafuna ili maida yako isije kushindwa kufanya kazi,na wala usifanye tendo la ndoa ukiwa huna hamu ya kulifanya, na la muhimu zaidi usitoe damu yako bila sababu ya msingi.
Mambo matano hudhoofisha kiwiliwili:-
Kufanya tendo la ndoa kwa sana, kuwa na hamu nyingi au kujitamanisha, kunywa maji mengi kabla ya kula, na kula sana vitu vikali mfano embe mbichi nakulala usingizi mwingi
Mambo manne hutia unyonge macho:
Kutizama mambo machafu, kUtizama aliyesulibiwa, kutizama tupu ya mwanammke, kukaa ukawa umeipa maungo kibla.
Mambo matatu huzidisha akili:
Kuacha maneno mengi (Hadithi ya Mtume inasema: Ni bora kukaa kimya ukiwa huna maneno ya maana), Kupigwa mswaki mara kwa mara, na kukaa na wanazuoni na watu wema.
Mambo matano hukondesha au hata kuua:
Kua mkono mtupu (huna kitu), Kufarikiana au kutengana na uwapendao, Kumeza machungu au kuvumilia machungu, Kukataa nasaha, na kucheka watu wenye akili.
Mambo yanayotia nguvu kiwiliwili:
Kuvaa nguo laini kwa mfano kanzu, kula chakula kizuri, na kunukia harufu nzuri.. hii kunukia kwa wanawake sio kwamba wajitie manukato watokapo njee laah! hii yaani kuwa msafi kutonuka jasho na mambo mengine mengine na kama unataka kunukia manukato basi uwe upo nyumbani tu.
Mambo manne huleta rizki:
Kufanya ibada usiku, kuleta istighfaar kwa wingi, kuzoea kutoa sadaqa, na Kumtaja Allah S.W mwanzo wa siku na mwisho wa siku.
Mambo manne yanayozuia rizki:
Usingizi wa asubuhi, Kufanya ibada kwa uchache, Wivu/chuki, na Khiyana..
Kufanya uchache katika kitu chenye kudhuru ni bora kuliko kufanya wingi cha kitu chenye kufaa.
Kwahivo tujitahidini kuyaacha hayo mambo madogo madogo yanayosababisha maradhi makubwa mno. Kwani afya ni neema kubwa alituruzuku Mola wetu, mtu haithamini afya yake mpaka pale ugonjwa utakapompata ndio hujui neema ya afya.
HAYA NDIO MAUSIA YANGU MAKUU UKIYAFUATA MARADHI YATAKUWA MBALI NA WEWE INSHALLAH...