leonaldo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 2,585
- 3,179
Ili kuweka kumbukumbu sawa,tujiulize jambo moja kubwa na la msingi ili kufanya tathimini ya manufaa,mafanikio na umuhimu wa makatazo ya Mhe Rais.
Tangu Raisi Magufuli aagize wenye mdomo na waropokaji spika wa bunge awatimue ili wakija huku uraiani wanyoshwe,tangu hapo waropokaji walishatimuliwa bungeni na waropokaji wawili walishafikishwa mahakamani ni kesi ipi ilishawahi kufanikiwa na kuwanyosha waropokaji?
Katazo la kufanya mikutano nje ya jimbo,kuna kesi nyingi tu lakini ni kesi ipi alishawahi kufanikiwa na wakaidi wakatiwa hatiani
Uchochezi pia zipo kesi kibao za uchochezi mnitajie hata moja abayo ilishawahi kufanikiwa.
Katazo la mikutano ya kisiasa
Zipo kesi nyingi tu hapa nchini moja wapo ya Mashinji na ile ya Geita lakini ni ipi ilishafanikiwa na wakosaji wakatiwa hatiani.
Kama hakuna mafanikio yoyote katika kuwanyosha wahusika faida ya haya makatazo ni nini?
Je kuna umuhimu wa makatazo haya kuendelea kuwepo?
Kwa upande mwingine ni hasara gani za kisiasa zimepatikana kutokana na haya makatazo, kwa upande wangu nimegundua wananchi wameongeza kiu ya kuwasikiliza wapinzinzani kuliko wakati wowote ule kila inapopatikana nafasi ya mikutano mfano kampeini za udiwani mikutano ya wapinzani inakupata nyomi na kuongeza kiholo kwa CCM ambayo inahangaika kupata wasikilizaji.
Kama hakuna nafanikio kwa nini wasiachane na makatazo warudi kwenye siasa huria kama mwanzo?
Tangu Raisi Magufuli aagize wenye mdomo na waropokaji spika wa bunge awatimue ili wakija huku uraiani wanyoshwe,tangu hapo waropokaji walishatimuliwa bungeni na waropokaji wawili walishafikishwa mahakamani ni kesi ipi ilishawahi kufanikiwa na kuwanyosha waropokaji?
Katazo la kufanya mikutano nje ya jimbo,kuna kesi nyingi tu lakini ni kesi ipi alishawahi kufanikiwa na wakaidi wakatiwa hatiani
Uchochezi pia zipo kesi kibao za uchochezi mnitajie hata moja abayo ilishawahi kufanikiwa.
Katazo la mikutano ya kisiasa
Zipo kesi nyingi tu hapa nchini moja wapo ya Mashinji na ile ya Geita lakini ni ipi ilishafanikiwa na wakosaji wakatiwa hatiani.
Kama hakuna mafanikio yoyote katika kuwanyosha wahusika faida ya haya makatazo ni nini?
Je kuna umuhimu wa makatazo haya kuendelea kuwepo?
Kwa upande mwingine ni hasara gani za kisiasa zimepatikana kutokana na haya makatazo, kwa upande wangu nimegundua wananchi wameongeza kiu ya kuwasikiliza wapinzinzani kuliko wakati wowote ule kila inapopatikana nafasi ya mikutano mfano kampeini za udiwani mikutano ya wapinzani inakupata nyomi na kuongeza kiholo kwa CCM ambayo inahangaika kupata wasikilizaji.
Kama hakuna nafanikio kwa nini wasiachane na makatazo warudi kwenye siasa huria kama mwanzo?