flood
Senior Member
- Jul 10, 2017
- 117
- 184
Katika pitapita na maisha kwa ujumla nimegundua kuwa masikini wanaongoza kwa kuwa na wapenzi/mahusiano lukuki yaani sio wawazi hata kidogo muda wote anataka aonekane yuko juu kiutambuzi na kimaisha yaani anajua kila kitu.
Ila wakishua huwa niwatulivu, wacare mawazo na hisia za wenzao sio watu wa kuspend bila kuwa na mipango hawana maneno mengi kivile mpaka labda uwe karibu nae, utakuta wakishua anamahusiano ya tokea sekondary wengine tokea msingi na mpaka wanaoana, sasa mwenzangu kila uchao anabadili na kuona yeye ndio mjanja wa mji.
Kwenye kuchagua wapenzi kapuku atataja sifa nzuri nzuri utasema yeye ndie anayeumba, nenda kamuone mwenyewe sasa ndio unachoka mimi nakuambia ukiona hivyo ujue balehe ilimkuta kijijini na mjini aliletwa na HELSB na mda wote anajifanya kuongea lugha ngeni.
INABOA ETI
Ila wakishua huwa niwatulivu, wacare mawazo na hisia za wenzao sio watu wa kuspend bila kuwa na mipango hawana maneno mengi kivile mpaka labda uwe karibu nae, utakuta wakishua anamahusiano ya tokea sekondary wengine tokea msingi na mpaka wanaoana, sasa mwenzangu kila uchao anabadili na kuona yeye ndio mjanja wa mji.
Kwenye kuchagua wapenzi kapuku atataja sifa nzuri nzuri utasema yeye ndie anayeumba, nenda kamuone mwenyewe sasa ndio unachoka mimi nakuambia ukiona hivyo ujue balehe ilimkuta kijijini na mjini aliletwa na HELSB na mda wote anajifanya kuongea lugha ngeni.
INABOA ETI