Makapuku haina impact, tokeni huko mje kupanuliwa mawazo!

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,638
2,720
Leo nilikuwa nafanya data analyais, nikasema ngoja niangalie hawa members wenye most likes wana michango gani?

Nilishangaa kuona kati ya member kumi wenye most likes, nane ni makapuku.
Na kinachotokea hapo hata member akiandika, 'good nite mabest', woote wanalike.
So nikaona kuwa members wengi wamejijengea profiles kubwa kwa haraka haraka kwa 'njia za haramu'.

Yani ni sawa na mwanafunzi karuka darasa la saba na kupewa PhD. Matokeo yake sasa unakuta mtu msomii ila kichwani ni mweupe kama 'vilaza wa Magu'.

Wito wangu ni kwa Makapuku kutumia mda mwingi zaidi ili kujijengea uwezo wa kuandika thread na kujibu hoja.

Kama unabisha, kaangalie members wenye most likes, wengi wana thread zisizozidi tano. Ina maana hawa jamaa bado ni wachanga kwenye gemu na hawana uwezo wa kutosha kutatua matatizo ya jamii nje ya Makapuku Forum.
 
tunasemaga...
e7cd628a280fca765f4e02011e673ce7.jpg
 
We kina"ku'ma" nini!! Fanya yako mkuu.. Bora hata maneno hayo angeandika mtoto wa kike, tungeona sawa, sasa wewe mtoto wa kiume na maneno ya "jikoni" wapi na wapi!!?

Mie bado sijaona tatzo, au nawe ni mmoja wa wale wanaanzisha thread ili apate likr, haya tufanye ushakuwa na like nyingi, so wht!!!

Likes si tatzo, mtu akianzisha uzi au kukomenti unajua kama hiki ni kichwa au "empty set"

Wewe una"raymond" a.k.a unatafuta kiki.

Kajaribu tena.
 
Hata waje na shombo za aina gani sisi HATUTUKANI.......tunawapa tu makavu yaliyoenda shule ili kudhihirisha kwamba wao ni mababu jinga .....
Na washaruita sisi watoto tumezoea basi watuache tuufurahie "utoto" wetu kwani kinawauma nini
25a6295de0dc8b334d649d02d36fa570.gif
Presider ila ujue mimi ni bibi vile ila ni kapuku pia. Kapuku hana umri ila muda wa kujoin JF otheriwise we are on the same level. I love Kapuku forum. You go there to reduce your stresses. oyeeeeeeee.
 
Back
Top Bottom