wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,353
Teh teh mkuu unatafuta ugomvi na vilaza forumKwanza kitendo cha kujiita "Kapuku" ni ishara kuwa Kichwani hazijaa vizuri
Teh teh mkuu unatafuta ugomvi na vilaza forumKwanza kitendo cha kujiita "Kapuku" ni ishara kuwa Kichwani hazijaa vizuri
NdioWale watoto wadogo wenye access na Internet ndio wale makapuku forum
Usipokuwa kapuku utakuwa kikongweNisipo kuwa kapuku nitakuwa wapi sasa???
Acha niwe kapuku maisha yooote jamiii forum
Nitoke wasafi niende kwa Kiba..... Nyoooooooo Raymond bana katisha.
Wana tafuta kick kama gigy money wao wanajiona bora kumbe wa kawaida
Mtoto wa kiume kuanza kufuatlia Mambo yasiyokuhusu huo ni ushog**.........Acha kuimba taarabu na ufanye yanayokuhusu............naona we umeshapanuliwaaLeo nilikuwa nafanya data analyais, nikasema ngoja niangalie hawa members wenye most likes wana michango gani?
Nilishangaa kuona kati ya member kumi wenye most likes, nane ni makapuku.
Na kinachotokea hapo hata member akiandika, 'good nite mabest', woote wanalike.
So nikaona kuwa members wengi wamejijengea profiles kubwa kwa haraka haraka kwa 'njia za haramu'.
Yani ni sawa na mwanafunzi karuka darasa la saba na kupewa PhD. Matokeo yake sasa unakuta mtu msomii ila kichwani ni mweupe kama 'vilaza wa Magu'.
Wito wangu ni kwa Makapuku kutumia mda mwingi zaidi ili kujijengea uwezo wa kuandika thread na kujibu hoja.
Kama unabisha, kaangalie members wenye most likes, wengi wana thread zisizozidi tano. Ina maana hawa jamaa bado ni wachanga kwenye gemu na hawana uwezo wa kutosha kutatua matatizo ya jamii nje ya Makapuku Forum.
Aiseee nimejikuta nacheka tuDah... hata ukiweka kinyesi hapa na pale ukaweka maua..... kwa akili yako unadhani nzi watafurika wapi??