Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,998
- 453,891
“Makusanyo Ki-Mikoa, Mkoa wa Njombe umeongoza kwa kukusanya asilimia 113 ikifuatiwa na Mkoa wa Geita 107%, Mkoa wa Songwe asilimia 107 na Mkoa wa Lindi umekua wa mwisho kwa kukusanya asilimia 78 ukifuatiwa na Mkoa wa Simiyu 81% na Mkoa wa Singida 82%”
“Matumizi katika Miradi ya Maendeleo Taarifa zinaonesha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa imeongoza kwa kuchangia asilimia 192.3 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru asilimia 166 na Halmashauri ya Wilaya ya Newala asilimia 155”
“Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu imekua ya mwisho kwa kuchangia asilimia 25.47 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe asilimia 28 na Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli asilimia 28”
“Uchambuzi wa ufanisi wa Halmashauri katuka ukusanyaji wa mapato ya ndani, unaonesha Halmashauri 57 zimekusanya kwa 100% au zaidi ya makisio yake ya mwaka,Halmashauri 90 zimekusanya kati ya 80% hadi 99 na Halmashauri 37 zimekusanya kati ya 50% hadi 70” ———-Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu Dodoma
“Matumizi katika Miradi ya Maendeleo Taarifa zinaonesha kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa imeongoza kwa kuchangia asilimia 192.3 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru asilimia 166 na Halmashauri ya Wilaya ya Newala asilimia 155”
“Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu imekua ya mwisho kwa kuchangia asilimia 25.47 ikifuatiwa na Halmashauri ya Wilaya ya Ukerewe asilimia 28 na Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli asilimia 28”
“Uchambuzi wa ufanisi wa Halmashauri katuka ukusanyaji wa mapato ya ndani, unaonesha Halmashauri 57 zimekusanya kwa 100% au zaidi ya makisio yake ya mwaka,Halmashauri 90 zimekusanya kati ya 80% hadi 99 na Halmashauri 37 zimekusanya kati ya 50% hadi 70” ———-Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu Dodoma