Makapuku Forum

Ngoja niongee taratibu tu mana Jirani yako ataenda tu kukusemea.Ila uzuri hapa mtaani kuna kile chumba cha siri pale mbele ya ile hoteli,labda tunaweza kukutana huko hata tuongee ma2 ma3 .

Halafu napataga salaam zako unakuja sana dar kwani kaka mimi na wewe tuna ugomviii? Niombe msamaha si unajua nilivyo mwepesi kumuomba mtu msamaha aliyenikosea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom