endesha
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 1,109
- 1,452
Marahaba mrembo...Ila kutoa Shikamoo(kaka) si lazima.Kwani tunanyimana nini?Hatujambo kaka shikamoo
Marahaba mrembo...Ila kutoa Shikamoo(kaka) si lazima.Kwani tunanyimana nini?Hatujambo kaka shikamoo
Marahaba mrembo...Ila kutoa Shikamoo(kaka) si lazima.Kwani tunanyimana nini?
Marahaba mrembo...Ila kutoa Shikamoo(kaka) si lazima.Kwani tunanyimana nini?
SawaSiku moja moja nikiingia kama hivi tunaonana kikubwa uhai
AmekusikiaTena mwambie nipo kwa mda mchache sana sijui nikitoka atanipata lini tena
Hakika.Tena ukute wewe ulichonacho yeye hana.Anakuomba humsaidii....Ngoja niongee taratibu maana nilikua nazunguka hapa nikasikia Jirani yako anamwambia baby wako kwamba haupo.Asije kutubambaHakuna cha kunyimana kaka na kumnyima mtu kitu unacho dhambi sana
Hakika.Tena ukute wewe ulichonacho yeye hana.Anakuomba humsaidii....Ngoja niongee taratibu maana nilikua nazunguka hapa nikasikia Jirani yako anamwambia baby wako kwamba haupo.Asije kutubamba
Ngoja niongee taratibu tu mana Jirani yako ataenda tu kukusemea.Ila uzuri hapa mtaani kuna kile chumba cha siri pale mbele ya ile hoteli,labda tunaweza kukutana huko hata tuongee ma2 ma3 .Usiogope hata kwa sauti ongea tu jamani
Ngoja niongee taratibu tu mana Jirani yako ataenda tu kukusemea.Ila uzuri hapa mtaani kuna kile chumba cha siri pale mbele ya ile hoteli,labda tunaweza kukutana huko hata tuongee ma2 ma3 .
Kwanza me sipendi ugomvi kabisa,ngoja tukutane kwenye kile chumba cha siri(PM) nikuombe tu msamaha.Halafu napataga salaam zako unakuja sana dar kwani kaka mimi na wewe tuna ugomviii? Niombe msamaha si unajua nilivyo mwepesi kumuomba mtu msamaha aliyenikosea