Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,320
- 115,315
Umeonaeee. Ule uzi hauna umri mrefu.Hahahahaah kitachoendelea ule uzi naona kufungwa tu ila jf inanipa raha sana
Umeonaeee. Ule uzi hauna umri mrefu.Hahahahaah kitachoendelea ule uzi naona kufungwa tu ila jf inanipa raha sana
Kifua cha kutunza mistari yanguKifua ninacho si hiki apa
Au kifua gani unazungumzia
Woiiii mambo za mistari waachie vijana mm mtu mzima ujueKifua cha kutunza mistari yangu
Mtuzima umeshaanza kula pensheni?Woiiii mambo za mistari waachie vijana mm mtu mzima ujue
Shikamoo usie taka kuniachia urithi
Jipya binamu ni kukumiss tu
Asante najikuta mgeni hapa kapuku
Sijui kama watu watanikaribisha
Nakusalimiaaaaa mimiiiiiii
Mi niko Malawi huku uchaguzi umepita...urithi utasubiri sana, jitahidi mwakani ugombee nitakupigia kura na kukufadhili hela kidogo za kampeni maana nitakuwa nimelipwa hela zangu, hii ni ahadi ya ukakika isiyoaminika
Wewe au unajua nitakuzidi kete...sasa wewe akukaribishe nani? Unajulikana kama kengele ya shule ya msingi waliyosoma watoto wa mzee Daudi, Mussa, Neema na Baraka
Mi niko Malawi huku uchaguzi umepita
Ha ahahahaha, kete za draft mimi nacheza bao, Mtwara kete wanacheza vijanaWewe au unajua nitakuzidi kete
Unajua mi nimkimbizi nitagombeaje?....si ugombee hata wa kwenye kanisa/msikiti! Mbona unashindwa kutumia fursa wakati nimeahidi kutoa mpunga wa kampeni
DuuuhHa ahahahaha, kete za draft mimi nacheza bao, Mtwara kete wanacheza vijana
Unajua mi nimkimbizi nitagombeaje?
...duh, nchi imekosa kipaji kumbe wewe ni mkimbizi!? Kwa hiyo unakimbia sana, taifa linatafuta wakimbiaji wa marathoni wewe unakuwa mkimbizi (mkimbiaji) wa Malawi. Sio uzalendo na una hulka za kibeberu wallah