Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,212
- 78,124
Marhaba dada yangu,,kwema huko?
Habari wana JF
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Salute kwenu wakuu,
Lengo la huu uzi linatimia? Maana nimeperuzi kwa bidii ila sijaona majadiliano kuhusu challenges rather than greetings.
Please take it positively, sina maana hasi..
Kwema binamu yangu,habar ya uzima...binamu mambo vipi
Kwema binamu yangu,habar ya uzima
Asante binamuHappy Valentines's day wadau wote wa Jukwaa hili. Upendo wangu kwenu ni sababu wewe ni mtu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Furahia kama una nafasi na kama huna basi buruika maana it is almost furahiday
EeenhFAHAMU: Hii nyumba ipo wilayani Mkinga(Tanga) ambapo inaleta utata wa kidiplomasia. Chumba kimoja kipo Kenya na chumba kingine kipo Tanzania (aliposimama NW Dkt. Damas Ndumbaro). Mwenye nyumba akitaka kula mirungi anakaa nje ya nyumba upande wa Kenya na askari wa Tanzania hawamfanyi kitu.View attachment 1022124
Baba wawili huyoKwema binamu yangu,habar ya uzima
Woyooooooo