Obe
JF-Expert Member
- Dec 31, 2007
- 9,982
- 34,476
....wakati mbunge wetu wa vitu maalum CCM akisema kuwa ufungwe mtambo wa kuwatambua wabunge weneye magovi, hii ndo jumuiya ya EAC, waziri huko Uganda kasema wanawake wenye misambwanda wanaweza kuwa ni moja ya kivutio cha utalii. Fikara za viongozi wetu wanazijua wanaowateua. Nadhani hii i mwendelezo wa Miss Bantu