Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,966
- 453,709
Nipo nyumbani kwangu naangalia telemundoLeo bendiiii au
Nipo nyumbani kwangu naangalia telemundoLeo bendiiii au
Shangazi acha kumdhalilisha Bashite wako,muache apige kazi jiji la Dar kuliongoza siyo mchezo ati!!Sihitaji msaidizi mm
Lee anaringaaaaa
kila mtu na macho yake mm kwangu big nooooSukari ya warembo
Ebu ukooShangazi acha kumdhalilisha Bashite wako,muache apige kazi jiji la Dar kuliongoza siyo mchezo ati!!
kaah kidogo nipaliwe shangazi nniniNaona yamekuibua mama obe mambo ya kufika kileleni ila kileleni kutamu jamani woiiiii
Ilaaa chiniii unadowload kwenye frijiiiNipo nyumbani kwangu naangalia telemundo
Shangazi nakupenda!Sasa natengua uteuzi wake
Mi sijuiJaguar ni kama vile mwanaume wa mkoani na mm nampenda eti mama obe
Achana na kilele jamanii daah ebu ngoja nimpigie mjomba wenu awahi kurudikaah kidogo nipaliwe shangazi nnini
Hapana niko mzima kabisaIlaaa chiniii unadowload kwenye frijiii
Halafu Toto wewe huwa hueleweki nn unataka yaani unaendana na upepo jamaniShangazi nakupenda!
Shangazi nakupenda!
Ndio mama obe bwana acha kuzuga jaguar ni kidumeMi sijui
Binamu hicho kicheko kinaashiria nini?binamu yngu Behaviourist cjamuona leo
Nyooooo... Me sijawaza mambo ya kileleni Hapo nilikuwa nashangaa tu ya dunianiAchana na kilele jamanii daah ebu ngoja nimpigie mjomba wenu awahi kurudi
Aisee!leo hii unatupenda wanaume wa mkoanJaguar ni kama vile mwanaume wa mkoani na mm nampenda eti mama obe
Mxxiuuu acha kuzuga uko we huoni mpaka maiti anafika kileleniNyooooo... Me sijawaza mambo ya kileleni Hapo nilikuwa nashangaa tu ya duniani
kwahiyo me skuhizi naitwa mama obeNdio mama obe bwana acha kuzuga jaguar ni kidume