Makapuku Forum

Utofauti wa Jaguar na Chui.

Madoa Yao: Wote Wana Madoa, Lakini Madoa ya Jaguar yana Madoa Pia Ndani Ya Madoa Yake, Lakini Chui Yeye ana madoa Tu Ya Kawaida.

Umbo Lao: Jaguar wana umbo kubwa, Kichwa kikubwa pia tofauti na Chui...Pia mkia wa Jaguar ni Mfupi wakati wa Chui ni Mrefu.

Wote wanaweza Kuogelea vizuri tu kwenye Maji, Lakini Jaguar anapenda sana Maji kuliko Chui.

Kingine, Chui ana uoga hasa anapokutana na mnyama mkubwa kwake kama Simba, Lakini kwa Jaguar hakunaga kitu kama hicho, Jaguar ni Wabishi hatari sana.

Jaguar wakikutana na kitu chochote ambacho akili yao itawatuma kuwa ni chakula, Basi na kweli anafanya kuwa chakula....ndio maana kuna video kadhaa mmeona Jaguar akiwakamata Mamba.... Actually wale sio mamba wenyewe, Wanaitwa Caimans wanapatikana sana America.

Wana maumbo ya kawaida Tu, Tofauti na Mamba wenyewe ndio maana pia Wanapata tabu sana sababu Mamba kama Mamba umbo lake akiwa mkubwa anakuwa na Uzito mkubwa kumshinda Jaguar, Kitu ambacho ni kazi Kwa Jaguar kuweza kumgeuza kitoweo.

Kingine,Africa hakuna Jaguar na America hakuna Chui.
Screenshot_20181207-204130.jpeg
Screenshot_20181207-204108.jpeg
Screenshot_20181207-204806.jpeg
 
Ili mtu aliye Fariki aweze kufikia Kilele (Mshindo) ni lazima uelewe mechanisms nzima mpaka mtu anafikia Hali hiyo inakuaje (Akiwa Hai)

Kwa kifupi kuna mshipa wa Fahamu unaitwa Sacral Nerve ambao kwa kiasi kikubwa ndio una ratibu hali hiyo (Swipe kuona Sacral Nerve)

Hivyo basi kama mtu kafariki, Ubongo wake unakuwa umekufa,....Ubongo una mchango katika Hali hiyo lakini Sacral Nerve pekee inaweza kumaliza Hali hiyo, Hivyo ili itokee Kinachohitajika ni Sacral Nerve inabidi ipate hewa ya Oksijeni.

Hapo ndipo tutahitaji mashine maalumu za kuupa mwili Oksijeni....Kuna mashine zinaitwa Medical Ventilator, Zinatumika pia hasa kama mtu Amefariki na Tunahitaji baadhi ya Viungo vyake kwaajili ya Kupewa mtu mwingine.

Naimani, umewahi skia mtu anasema kama akifariki basi anaomba Baadhi ya ogani zake zitolewe Wapewe watu wenye uhitaji, So hiyo mashine ndio huwa wanatumia ambapo kama Ukiwekewa hata kama Umefariki, Baadhi ya Ogani huendelea kufanya kazi kama kawaida mfano ni Moyo utaendelea Kufanya kazi....Ila ubongo ndio unakuwa umekufa.

So hapo kama Oksijeni itafika katika Sacral Nerve Huku mambo yatakwenda kama kawaida mpaka mashine iondolewe
Screenshot_20181207-204000.jpeg
Screenshot_20181207-205040.jpeg
 
Utofauti wa Jaguar na Chui.

Madoa Yao: Wote Wana Madoa, Lakini Madoa ya Jaguar yana Madoa Pia Ndani Ya Madoa Yake, Lakini Chui Yeye ana madoa Tu Ya Kawaida.

Umbo Lao: Jaguar wana umbo kubwa, Kichwa kikubwa pia tofauti na Chui...Pia mkia wa Jaguar ni Mfupi wakati wa Chui ni Mrefu.

Wote wanaweza Kuogelea vizuri tu kwenye Maji, Lakini Jaguar anapenda sana Maji kuliko Chui.

Kingine, Chui ana uoga hasa anapokutana na mnyama mkubwa kwake kama Simba, Lakini kwa Jaguar hakunaga kitu kama hicho, Jaguar ni Wabishi hatari sana.

Jaguar wakikutana na kitu chochote ambacho akili yao itawatuma kuwa ni chakula, Basi na kweli anafanya kuwa chakula....ndio maana kuna video kadhaa mmeona Jaguar akiwakamata Mamba.... Actually wale sio mamba wenyewe, Wanaitwa Caimans wanapatikana sana America.

Wana maumbo ya kawaida Tu, Tofauti na Mamba wenyewe ndio maana pia Wanapata tabu sana sababu Mamba kama Mamba umbo lake akiwa mkubwa anakuwa na Uzito mkubwa kumshinda Jaguar, Kitu ambacho ni kazi Kwa Jaguar kuweza kumgeuza kitoweo.

Kingine,Africa hakuna Jaguar na America hakuna Chui.
View attachment 959604View attachment 959605View attachment 959606
Nampenda jaguar
 
Ili mtu aliye Fariki aweze kufikia Kilele (Mshindo) ni lazima uelewe mechanisms nzima mpaka mtu anafikia Hali hiyo inakuaje (Akiwa Hai)

Kwa kifupi kuna mshipa wa Fahamu unaitwa Sacral Nerve ambao kwa kiasi kikubwa ndio una ratibu hali hiyo (Swipe kuona Sacral Nerve)

Hivyo basi kama mtu kafariki, Ubongo wake unakuwa umekufa,....Ubongo una mchango katika Hali hiyo lakini Sacral Nerve pekee inaweza kumaliza Hali hiyo, Hivyo ili itokee Kinachohitajika ni Sacral Nerve inabidi ipate hewa ya Oksijeni.

Hapo ndipo tutahitaji mashine maalumu za kuupa mwili Oksijeni....Kuna mashine zinaitwa Medical Ventilator, Zinatumika pia hasa kama mtu Amefariki na Tunahitaji baadhi ya Viungo vyake kwaajili ya Kupewa mtu mwingine.

Naimani, umewahi skia mtu anasema kama akifariki basi anaomba Baadhi ya ogani zake zitolewe Wapewe watu wenye uhitaji, So hiyo mashine ndio huwa wanatumia ambapo kama Ukiwekewa hata kama Umefariki, Baadhi ya Ogani huendelea kufanya kazi kama kawaida mfano ni Moyo utaendelea Kufanya kazi....Ila ubongo ndio unakuwa umekufa.

So hapo kama Oksijeni itafika katika Sacral Nerve Huku mambo yatakwenda kama kawaida mpaka mashine iondolewe View attachment 959610View attachment 959611
Hii nadharia baadhi ya maandiko yanakosa evidence
 

Similar Discussions

260 Reactions
Reply
Back
Top Bottom