Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,982
- 1,009
wadau amani iwe juu yenu.
nimekuwa nikijiuliza kuwa since ikulu ya magogoni ndio ilikuwa makao ya serikali yetu tukufu ya TANGANYIKA (najivunia TANGANYIKA kurudi tena) sasa swali kuu ni kwamba, je makao makuu ya serikali ya muungano yatajengwa wapi? je ni dar, zanzibar au chumbe?
nimekuwa nikijiuliza kuwa since ikulu ya magogoni ndio ilikuwa makao ya serikali yetu tukufu ya TANGANYIKA (najivunia TANGANYIKA kurudi tena) sasa swali kuu ni kwamba, je makao makuu ya serikali ya muungano yatajengwa wapi? je ni dar, zanzibar au chumbe?