Makao makuu ya NALA kujengwa Kenya, je Tanzania nani katuloga?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Aug 8, 2015
21,246
34,196
Kwa ambao hamjui NALA ni kampuni ya Tanzania inayo jihusisha na huduma za fedha.

Siku chache zilizo pita mkuu wa kampuni hiyo ametangaza kujenga makao makuu ya kampuni hiyo nchini Kenya na kuwekeza dola milioni 5 nchini Kenya!

Swali la kujiuliza...

Je nini kimesababisha makao makuu ya hii kampuni ya kitanzania kujengwa Kenya na sio Tz? Au Tz hakuna eneo la kujenga?

Je ni nini wajibu wa serikali katika kulinda makampuni yetu?

Janja janja kila kona nimekumbuka figisu alizo chezewa Elion Musk na kampuni yake ya intaneti.

NB: Mchawi wa Maendeleo ya Tanzania ni serikali ya CCM.

20230305_083712.jpg
 
Urasimu na hujuma + Kenya wapo more exposed na hyo biashara ya jamaa , wakenya wametoboka Sana nje , Sisi tumejifungia Tu ndani tunavutana na bei ya kilo ya Mchele , Kwa vyovyote vile East Africa Kenya ndo wateja wakuu wa jamaa..Sisi tu kua_pprove PayPal imetushinda
 
Sababu kazieleza Benjamin

  • Presence of skilled labour (Anamaanisha vijana wengi wa kibongo ni vilaza)
  • Friendly regulatory environment (Hakuna mazingira mazuri ya udhibiti hapa inaguswa TCRA na mamlaka za fedha)
  • Good tech infrastructure (Hakuna miundombinu mizuri ya teknolojia, hapa inaguswa serikali na taasisi zake kama TCRA)
 
Kwa ambao hamjui NALA ni kampuni ya Tanzania inayo jihusisha na huduma za fedha.

Siku chache zilizo pita mkuu wa kampuni hiyo ametangaza kujenga makao makuu ya kampuni hiyo nchini Kenya na kuwekeza dola milioni 5 nchini Kenya!

Swali la kujiuliza...

Je nini kimesababisha makao makuu ya hii kampuni ya kitanzania kujengwa Kenya na sio Tz? Au Tz hakuna eneo la kujenga?

Je ni nini wajibu wa serikali katika kulinda makampuni yetu?

NB: Mchawi wa Maendeleo ya Tanzania ni serikali ya Tanzania.

View attachment 2537676
Jambazi likivunja njumba yako na kuiba fedha lina kwenda kuzificha mbali na hiyo nyumba ..ulisha wai kuona wapi jambazi limevunja nyumba yako na kuiba fedha kisha kuzificha humo humo nyumbani kwako jiongeze hata makampuni ya madini yaliyo wekeza tz wanajenga kenya wala siyo tz maana ni mafisadi wanajua siku kikinuka watapata hasara ya mali zao walizo ziwekeza nchini ....hiyo ndiyo kanuni ya mafisadi wote duniani ...hata mafisadi ya somalia yanawekeza kenya na tz .....wewe umuoni baresa licha ya utajiri wake ajawekeza sana tz zaidi ya vitega uchumi vinavyo mwingizia hela
 
Je nini kimesababisha makao makuu ya hii kampuni ya kitanzania kujengwa Kenya na sio Tz? Au Tz hakuna eneo la kujenga?

Je ni nini wajibu wa serikali katika kulinda makampuni yetu?

NB: Mchawi wa Maendeleo ya Tanzania ni serikali ya Tanzania.
Watanzania maneno mengi mno utendaji mdogo, Kenya wapo effective sana, mfano mdogo tu linganisha customer care anayotoa mtz na mkq kwa kazi ileile utaona tofayti kubwa sana
 
Jambazi likuvunja njumba yako na kuiba fedha lina kwenda kuzificha mbali na hiyo nyumba ..ulisha wai kuona wapi jambazi limevunja nyumba yako na kuiba fedha kisha kuzificha humo humo nyumbani kwako jiongeze hata makampuni ya madini yaliyo wekeza tz wanajenga kenya wala siyo tz maana ni mafisadi wanajua siku kikinuka watapata hasara ya mali zao walizo ziwekeza nchini ....hiyo ndiyo kanuni ya mafisadi wote duniani ...hata mafisadi ya somalia yanawekeza kenya na tz .....wewe umuoni baresa licha ya utajiri wake ajawekeza sana tz zaidi ya vitega uchumi vinavyo mwingizia hela
Unasemea ujambazi kama ule wa kukwapua 1.5 trillion au ule wa kuibia ela bureau de change za Arusha? Au wa tozo?
 
Sababu kazieleza Benjamin

  • Presence of skilled labour (Anamaanisha vijana wengi wa kibongo ni vipaza)
  • Friendly regulatory environment (Hakuna mazingira mazuri ya udhibiti hapa inaguswa TCRA)
  • Good tech infrastructure (Hakuna miundombinu mizuri ya teknolojia, hapa inaguswa serikali na taasisi zake kama TCRA)
Kazi ipo aisee alafu tunalalamika vijana hawana ajira wakati tunakimbiza wawekezaji
 
Ni factors nyingi zinachangia kwenye hili, moja wapo ni workforce Tanzania graduates wengi sio competitive kwenye fild zao. Ukizingatiia sector ya IT kenya hapa wamesha tupiga chenga, wapo vizuri sana. Hata ukizingatia kampuni kana ya OpenIA wanatumia kampuni ya IT ya kenya samatech (kama sijakosea) ku train model yao inayo run ChatGPT 3.5
 
Jambazi likuvunja njumba yako na kuiba fedha lina kwenda kuzificha mbali na hiyo nyumba ..ulisha wai kuona wapi jambazi limevunja nyumba yako na kuiba fedha kisha kuzificha humo humo nyumbani kwako jiongeze hata makampuni ya madini yaliyo wekeza tz wanajenga kenya wala siyo tz maana ni mafisadi wanajua siku kikinuka watapata hasara ya mali zao walizo ziwekeza nchini ....hiyo ndiyo kanuni ya mafisadi wote duniani ...hata mafisadi ya somalia yanawekeza kenya na tz .....wewe umuoni baresa licha ya utajiri wake ajawekeza sana tz zaidi ya vitega uchumi vinavyo mwingizia hela
Tafuta Pesa acha kuona kila anaefanikiwa ni mwizi.
Kama ingekuwa kuiba ni rahisi nawe iba ukainvest nchi nyingine.
Change your Mindset
 
Jambazi likuvunja njumba yako na kuiba fedha lina kwenda kuzificha mbali na hiyo nyumba ..ulisha wai kuona wapi jambazi limevunja nyumba yako na kuiba fedha kisha kuzificha humo humo nyumbani kwako jiongeze hata makampuni ya madini yaliyo wekeza tz wanajenga kenya wala siyo tz maana ni mafisadi wanajua siku kikinuka watapata hasara ya mali zao walizo ziwekeza nchini ....hiyo ndiyo kanuni ya mafisadi wote duniani ...hata mafisadi ya somalia yanawekeza kenya na tz .....wewe umuoni baresa licha ya utajiri wake ajawekeza sana tz zaidi ya vitega uchumi vinavyo mwingizia hela
Akili za kimaskini hizi. We mtu akifanikiwa tu unamuita mwizi. Iba na wewe basi kama utafanikiwa

Lazima Tanzania tukubali kuwa kuna tatizo hasa kwa viongozi wanaotuongoza. Hawana akili inayoendana na kasi ya mabadiliko ya kimaendeleo ya dunia. Ndo mana mazingira ya kufanya biashara nchini Tanzania yanalalamikiwa kila siku.

Lazima tubadilike kweli na kuacha lawama
 
Back
Top Bottom