Tetesi: Makao makuu ya EU kuhamia Kenya

Wakuu kuna mzungu kanidokeza makao makuu ya nchi za umoja wa ulaya wana mpango wa kuhamia kenya hii ni kutokana kutoelewana kwendana sawa na serikali ya Tanzania

Kitu ambacho wazungu wengi kimewashinda ni kuhamia dodoma ambapo wanaona hamna miundo mbinu mizur hali ya hewa ikiwa pamoja mashule na nyumba za maana za kuishi wao na familia zao kuna baadhi walianza kurejea makwao na kuachana na kazi hapa nchini

Pia uonevu na ukandamizwaji vimechangia ambapo wanalalamika serikali yetu inaumiza raia wake na kutotii human rights kwa ujumla

Tuendapo kuna kiza kinene hizi ni habar za kweli kabisa baadhi wameanza kuhama na kupakia mizigo yao.

Ahaaa haaa haaa
bro katika jukwaa hili, huwa kitu chochote kinacholetwa na mtu awaye yote, lazima kiwe na evidence au CHANZO from credible authority or source.
Kwa hiki kitu ulicholeta, sisi ambao tumekaa madarasani muda mrefu tunaona ni kama HISIA AU MTAZAMO NA SI UHALISIA.
 
Hata ukusanywaji wa mapato yalikuwa hivyo hivyo kwa waliopinga mwisho wa siku jiwe kasema ukweli hii kitu ipo na haikwepek serikali ya tz ina msuguano na EU
Sasa hapo si unakubalina na hoja yangu kwamba watu walikuwa wanakuza mambo yaani mfano hizo 'takwimu za mapato'?
**Kama upo sahihi kuhusu mapato.

Wewe pia unakuza jambo. Hao wakihamishia Nairobi ofisi zao hakutakuwa na tarizo kubwa kiasi hicho.

Wafanyakazi wao hapo ofisini kwao Dar sio wengi hivyo.

Kukiwa na jambo la kidiplomasia au kiofisi watu wataenda tu hapo Nairobi.
 
Kwanza nchi tofauti za umoja wa ulaya tuna balozi zao hivyo sio ishu kihivyo EU wakihamia Kenya.
 
Ahaaa haaa haaa
bro katika jukwaa hili, huwa kitu chochote kinacholetwa na mtu awaye yote, lazima kiwe na evidence au CHANZO from credible authority or source.
Kwa hiki kitu ulicholeta, sisi ambao tumekaa madarasani muda mrefu tunaona ni kama HISIA AU MTAZAMO NA SI UHALISIA.

Huwa hivyo kila jambo ambalo lipo tofaut na serikali wengi huwa hawaamini nakwambia ukweli wazungu wengi nnaofanya nao kazi wanasepa kama huwaamini endelea kubisha na darasa lako kisha jiwe aje aseme kama ukusanywaji wa mapato ya kisaniii ukweli haujifich kwa akili yako nilete hili kwa lengo gani? Hizo hisia zangu zinasaidia nini au nafaidika na nini? Jipe moyo
 
Halafu kama kuna wanaofanya kazi Sudan, Somalia, Afghanistan, nk ambako kuna hali tete za kiusalama, ndio useme washindwe kwenda Dodoma kwasababu ya hali ya hewa?! Huyo mzungu uliozungumza naye kakuingiza chaka sana.
 
Huwa hivyo kila jambo ambalo lipo tofaut na serikali wengi huwa hawaamini nakwambia ukweli wazungu wengi nnaofanya nao kazi wanasepa kama huwaamini endelea kubisha na darasa lako kisha jiwe aje aseme kama ukusanywaji wa mapato ya kisaniii ukweli haujifich kwa akili yako nilete hili kwa lengo gani? Hizo hisia zangu zinasaidia nini au nafaidika na nini? Jipe moyo

Hapa hapa tu kuna waafrika wenzio hawawez kuish sinza au mwananyamala wanakaa masaki unabisha?
 
Wakuu kuna mzungu kanidokeza makao makuu ya nchi za umoja wa ulaya wana mpango wa kuhamia kenya hii ni kutokana kutoelewana kwendana sawa na serikali ya Tanzania

Kitu ambacho wazungu wengi kimewashinda ni kuhamia dodoma ambapo wanaona hamna miundo mbinu mizur hali ya hewa ikiwa pamoja mashule na nyumba za maana za kuishi wao na familia zao kuna baadhi walianza kurejea makwao na kuachana na kazi hapa nchini

Pia uonevu na ukandamizwaji vimechangia ambapo wanalalamika serikali yetu inaumiza raia wake na kutotii human rights kwa ujumla

Tuendapo kuna kiza kinene hizi ni habar za kweli kabisa baadhi wameanza kuhama na kupakia mizigo yao.
Kwani Makao makuu ya EU yalikuwa wapi. Au unamanisha Office za EU Tanzania? Au unamanisha Office za EU katika Africa zilikuwa Tanzania sasa wanazihamishia Kenya? Au unamanisha Office za EU hapa Tanzania wanazifunga? Tueleweshe tusiojua
 
Kwani Makao makuu ya EU yalikuwa wapi. Au unamanisha Office za EU Tanzania? Au unamanisha Office za EU katika Africa zilikuwa Tanzania sasa wanazihamishia Kenya? Au unamanisha Office za EU hapa Tanzania wanazifunga? Tueleweshe tusiojua

Office za EU kwa hapa tz wanaweza kuhamia kenya kama mambo yataendelea kuwa ya hovyo
 
Kwani Makao makuu ya EU yalikuwa wapi. Au unamanisha Office za EU Tanzania? Au unamanisha Office za EU katika Africa zilikuwa Tanzania sasa wanazihamishia Kenya? Au unamanisha Office za EU hapa Tanzania wanazifunga? Tueleweshe tusiojua
Hata yy hajui
 
Mleta mada unajua makao makuu ya EU yalipo kweli? au umeongozwa na mihemko kuandika ulichoandika
 
Back
Top Bottom