Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
Mkuu sema utavosema pamba utavopamba lakini khabari ndo ileile HATUUTAKI MUUNGANO.
Uhusiano wa kanisa na muungano upo mkubwa sana, kama si huu muungano Zanzibar tusingalikuwa na utitiri wa makanisa na mabaa na madanguro mpaka vichochoroni, lakini Mkapa (LTLLH) kafanya juhudi kubwa kuhakikisha Zenji hasa mwaka 1995-2004 wameletwa Watanganyika wakristo ili kujaza makanisa hayo na kujenga mengine zaidi.
Na mmeona nyinyi wenyewe khabari kuu zenu ni makanisa yamechomwa moto tuu, hamjaona la kuandika zaidi ya hilo kwa mfano hao askari wanavopiga mabomu mpaka watoto wa shule hii sio khabari au haina uzito, wacheni Chuki zenu Watanganyika na kujifanya hamjui tulitakalo Wazanzibari/
Pia siku hizi kuna mpango maalum wa kuwaleta Watanganyika wakristo siku za weekend ili kujaza makanisa ya Z'bar ili waonekane wengi, Source ni mchungaji Henry wa kanisa la Mkunazini
Hizo propaganda zenu za makanisa na ukristo wenu sisi hauna faida kwetu hapa Zanzibar, tutaendelea na harakati kama kawa za uhuru wa Zenji mpaka kieleweke.
Mkituita alqaida, au mashetani, au mazuzu, au wajinga au vyovyote vile sisi hatujali almuhimu Zanzibar kwanza kelele zenu baadae.
Na atakaeshi Z'bar aishi kwa heshima zote za Z'bar, lakini yote hayo ya kanisa na ukristo yatakuja baada ya uhuru wetu na tutaamua makanisa mangapi yawepo Zenji sio kila kona mutuwekee fujo zenu za miziki.
Akhsante kwa ufafanuzi kwa kuwa maelezo yako yanapigia mstari kuwa UISLAM NI DINI YA FUJO ISIYOJALI UHURU WA KUABUDU WA DINI NYINGINE, uislam hauna hoja zenye mantiki,kuaminika na kukubalika ili kuvutia wasiouamini na ndo maana inatumia nguvu,vitisho na fujo ili kupata au kubakiza waumini ndani ya imani.
Imani inatakiwa ipatikane thru convincing/persuasion and not by using force, wakristo hawajatumia nguvu kushawishi watu bali hoja na matendo yenye ushawishi, uislam kama ni dini ya kweli,thabiti na yenye nguvu ya Mungu kama sio mungu ina hofu nini kuhusu waumini wake ambao hawashikiwi upanga shingoni ili kufata imani nyingine?
Dini ya uislam inaleta shaka kwa kuwa badala ya kulindwa na Mungu inalindwa na wanadamu...it's very sad!