Makanisa na misikiti kumiliki bank ni usanii mtupu; Fungeni

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Zipo biashara ambazo zinapaswa kufanywa na makanisa/misikiti,
kwa mfano; kumiliki vituo vya kulelea watoto/wazeze, kumiliki hospitali, kumiliki shule n.k

Makanisa kujiingiza kwenye biashara ya mabank ni tamaa zenye usanii mtupu kwasabu;

  • ukifungua bank utahitaji faida,
  • ukifungua bank utahitaji riba,
  • ukifungua bank utakopesha watu na kuwafilisi,
  • ukifungua bank utakopesha watu wasipolipa utawapeleka mahamani (kwa hakimu)
  • ukifungua bank utahitaji faida
  • ukipata hasara utanung’unika
YAPASWA YA KAISARI TUMWACHIE KAISARI NA YA MUNGU TUMPE MUNGU KWA VITENDO!

Vinginevyo huenda benk zao ziwe hazikopeshi wala hazidai!

Watu wa Mungu wakianza kupelekana mahakamani ni kufuru kwa mwenyezi Mungu kwasababu Imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeae mwanadam kuwa kinga yake, kumtegemea hakimu kuamua kesi ni laana,

watu wa Mungu wajikite kwenye biashara za kiroho zaidi mbali na mabank!

Ukiwa na bank utahitaji walinzi wa bunduki wakati neno linasema, Mungu asipo ilinda nyumba Wakeshao wajisumbua bure.
MAKANISA NA MISIKITI ACHENI BIASHARA YA MABANK HAIWAFAI
 
Zipo biashara ambazo zinapaswa kufanywa na makanisa/misikiti,
kwa mfano; kumiliki vituo vya kulelea watoto/wazeze, kumiliki hospitali, kumiliki shule n.k

Makanisa kujiingiza kwenye biashara ya mabank ni tamaa zenye usanii mtupu kwasabu;

  • ukifungua bank utahitaji faida,
  • ukifungua bank utahitaji riba,
  • ukifungua bank utakopesha watu na kuwafilisi,
  • ukifungua bank utakopesha watu wasipolipa utawapeleka mahamani (kwa hakimu)
  • ukifungua bank utahitaji faida
  • ukipata hasara utanung’unika
YAPASWA YA KAISARI TUMWACHIE KAISARI NA YA MUNGU TUMPE MUNGU KWA VITENDO!

Vinginevyo huenda benk zao ziwe hazikopeshi wala hazidai!

Watu wa Mungu wakianza kupelekana mahakamani ni kufuru kwa mwenyezi Mungu kwasababu Imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeae mwanadam kuwa kinga yake, kumtegemea hakimu kuamua kesi ni laana,

watu wa Mungu wajikite kwenye biashara za kiroho zaidi mbali na mabank!

Ukiwa na bank utahitaji walinzi wa bunduki wakati neno linasema, Mungu asipo ilinda nyumba Wakeshao wajisumbua bure.
MAKANISA NA MISIKITI ACHENI BIASHARA YA MABANK HAIWAFAI
100% correct
 
Na ule msemo usemao asiyefanya kazi na asile una maana gani wasipofanya biashar?. Wakiibiwa wanasamehe. kwani rafiki yako akikupiga shavu la kulia nawewe unamgeuzia na shavu la kushoto ili amalizie. Nadhani ndicho kitakacho waongoza na si kuwapeleka mahakamani
 
Riba sio haramu ! Unakumbuka jamaa aliyepewa talanta 5 akaruridisha 10? Aliyepewa 1 karudisha 1 aliambiwa "bwege" na bwana Yesu ! Ila tu usipate faida ya kudhulumu ! Wizi mtakatifu unaruhusiwa mf.! Nikinununua kitu sh 100 nikikuuzia 1000 na ukanunua kwa raha ni poa .
 
usanii unazidi pale ambapo msikiti/kanisa linataka mkopo, wanaenda kukopa kwenye benki zao ili faida/riba irudi kwao wenyewe.
 
Zipo biashara ambazo zinapaswa kufanywa na makanisa/misikiti,
kwa mfano; kumiliki vituo vya kulelea watoto/wazeze, kumiliki hospitali, kumiliki shule n.k

Makanisa kujiingiza kwenye biashara ya mabank ni tamaa zenye usanii mtupu kwasabu;

  • ukifungua bank utahitaji faida,
  • ukifungua bank utahitaji riba,
  • ukifungua bank utakopesha watu na kuwafilisi,
  • ukifungua bank utakopesha watu wasipolipa utawapeleka mahamani (kwa hakimu)
  • ukifungua bank utahitaji faida
  • ukipata hasara utanung’unika
YAPASWA YA KAISARI TUMWACHIE KAISARI NA YA MUNGU TUMPE MUNGU KWA VITENDO!

Vinginevyo huenda benk zao ziwe hazikopeshi wala hazidai!

Watu wa Mungu wakianza kupelekana mahakamani ni kufuru kwa mwenyezi Mungu kwasababu Imeandikwa amelaaniwa yule amtegemeae mwanadam kuwa kinga yake, kumtegemea hakimu kuamua kesi ni laana,

watu wa Mungu wajikite kwenye biashara za kiroho zaidi mbali na mabank!

Ukiwa na bank utahitaji walinzi wa bunduki wakati neno linasema, Mungu asipo ilinda nyumba Wakeshao wajisumbua bure.
MAKANISA NA MISIKITI ACHENI BIASHARA YA MABANK HAIWAFAI

Unatumia huo msemo 'out of context'. Huduma muhimu za jamii ni moja ya maeneo makanisa na misikiti inatoa. Tena kwa baadhi ya maeneo huduma za jamii zinategemea hayo madhehebu.
 
Unatumia huo msemo 'out of context'. Huduma muhimu za jamii ni moja ya maeneo makanisa na misikiti inatoa. Tena kwa baadhi ya maeneo huduma za jamii zinategemea hayo madhehebu.
sio kigezo cha kifanya biashara hiyo haiwafai
 
Andiko lako lina maana lakini umetumia maneno makali ambayo sidhani kama kanisa hufungua banki kwa mtazamo huo.
Kusema ukifungua banki utakopesha watu na wakishindwa utachukua uamuzi wa kuwafilisi siyo SAHIHI. Kwani wewe ukianza biashara unategemea utawauzia watu wasioweza kulipa ili baadae ukanyang'anye mali zao kufidia deni lako???

Na pia sijaona mahali umeonyesha kimaandiko kuwa Kanisa limefanya dhambi fulani kwa kuwa na Bank yake. Umeenda Kanisani ukakosa kuhubiriwa neno la Mungu la kweli kwa sababu Mchungaji alikuwa akihudumia wateja wa Bank??

Kwa mtazamo wako ulioutoa inaonyesha hiyo ni chuki yako dhidi ya Banki ya Kanisa na siyo jambo la msingi.
 
Labda kuhusu kanisa sijui cocote ndio sbabu siwezi kuongelea kanisa,ila kuhusu msikiti nikwamba panapo itajika swala la maendeleo ni kwamba lazma kitu kama hicho(biashara)iweze kufata utaratibu na sheria za ki islam kuna bank ambazo nazo fahamu za ki islam utaratibu wawo ni wa ki islam unapo pewa mkopo hamna riba kwa kulipia ,,so sioni kama kuna ubaya wowote msikiti kuwezeka katika njia hiyo huku wakfata sheria za ki islam !!wasalam
 
Napingana na wewe, makanisa na misikiti itafute namna ya kujiendesha bila kutegemea sadaka kama ilivyo kwa nchi zilizoendelea.

Mkiombwa sadaka mnalalama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom