Kuna namna nyingi za kuuwa watu?
Kilichotokea kwa Mwamposa ni moja tu kati ya matukio hatarishi yanayofanywa na makanisa!
Kuna matukio mengi sana ya kijinga yanafanyika waziwazi na serikali ipo kimya!
Makanisa holela mengi yamefungwa spika zinazozalisha makerere mtaani Serikali ipo kimya kwa sababu haijaona madhara yake waziwazi kama vifo vya Mwamposa!
Wagonjwa wengi wa presha wanapatwa na mishituko kutokana na makelele hayo lakini serikali ipo kimya.
Wamama wajawazito wanazaa watoto vilema kwa sababu ya makelele!
Watu na watoto wengi wanakumbwa na tatizo la Usikio hafifu (ngoma ya sikio inaharibika) kwa sababu ya makelele
Makazi yamekuwa si salama majumbani watu hawasikilizani kwwasababu jilani kuna kanisa linapiga kelele.
Kuna mitaa ina makelele kiasi hata mtu akipigiwa simu hawawezi kusikilizana
Makanisa haya yamekuwa hayana tofauti na michezo ya kubet, watu wanachaniwa mikeka yao kwa kutarajia miujiza
Watu wanauza kila mali waliyonayo kwa agizo la wachungaji ili kujenga kanisa wabarikiwe
Kiufupi makanisa yanauwa watu kisaikolojia, kifikra na kimwili
Kilichotokea kwa mwamposa ni mauaji ya kimwili
Sababu kubwa ya yote kutokea ni uzembe wa serikali kusimamia sheria!
Makelele ya makanisa ni tishio kama la nzige; serikali inakwama wapi?
Kilichotokea kwa Mwamposa ni moja tu kati ya matukio hatarishi yanayofanywa na makanisa!
Kuna matukio mengi sana ya kijinga yanafanyika waziwazi na serikali ipo kimya!
Makanisa holela mengi yamefungwa spika zinazozalisha makerere mtaani Serikali ipo kimya kwa sababu haijaona madhara yake waziwazi kama vifo vya Mwamposa!
Wagonjwa wengi wa presha wanapatwa na mishituko kutokana na makelele hayo lakini serikali ipo kimya.
Wamama wajawazito wanazaa watoto vilema kwa sababu ya makelele!
Watu na watoto wengi wanakumbwa na tatizo la Usikio hafifu (ngoma ya sikio inaharibika) kwa sababu ya makelele
Makazi yamekuwa si salama majumbani watu hawasikilizani kwwasababu jilani kuna kanisa linapiga kelele.
Kuna mitaa ina makelele kiasi hata mtu akipigiwa simu hawawezi kusikilizana
Makanisa haya yamekuwa hayana tofauti na michezo ya kubet, watu wanachaniwa mikeka yao kwa kutarajia miujiza
Watu wanauza kila mali waliyonayo kwa agizo la wachungaji ili kujenga kanisa wabarikiwe
Kiufupi makanisa yanauwa watu kisaikolojia, kifikra na kimwili
Kilichotokea kwa mwamposa ni mauaji ya kimwili
Sababu kubwa ya yote kutokea ni uzembe wa serikali kusimamia sheria!
Makelele ya makanisa ni tishio kama la nzige; serikali inakwama wapi?