Makandarasi wazawa ni majanga kwenye miradi ya ujenzi

Kinuju

JF-Expert Member
Mar 20, 2021
2,390
5,310
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.

Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.

Kuna barabara nyingine kule Musoma ya km 59 inajengwa na wazawa ni mwaka wa 5 sasa huu haijakamilika!

Wanachokifanya wakisikia kuna ziara ya waziri au kiongozi yoyote wa kitaifa anakuja wanakusanya magreda na vifusi, baada ya ziara kuisha wanatokomea kusikojulikana mpaka watakaposikia kuna ziara tena!

Hali hii inasikitisha sana hasa kwa kuwa wazawa wamekuwa wakilalamika kuwa wageni wanapewa kazi, je kwa hali hii ni kiongozi gani ataendelea kuwapa wazawa miradi ya ujenzi?
 
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.
Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.
Kuna barabara nyingine kule Musoma ya km 59 inajengwa na wazawa ni mwaka wa 5 sasa huu haijakamilika.!
Wanachokifanya wakisikia kuna ziara ya waziri au kiongozi yoyote wa kitaifa anakuja wanakusanya magreda na vifusi, baada ya ziara kuisha wanatokomea kusikojulikana mpaka watakaposikia kuna ziara tena!

Hali hii inasikitisha sana hasa kwa kuwa wazawa wamekuwa wakilalamika kuwa wageni wanapewa kazi, je kwa hali hii ni kiongozi gani ataendelea kuwapa wazawa miradi ya ujenzi?
Usiseme 'makandarasi wazawa', sema tu 'makandarasi uchwara'.
Tatizo litakuwa kwa watoa zabuni za ujenzi, inawezekana walipeana dili za ujenzi huku wakiwa hawana weledi husika
 
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.
Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.
Tatizo ni Serikali haitoi pesa kwa wakati au tatizo ni wakandarasi wazawa?

Anamlalamikia nani sasa si watoe pesa? Mbona njia 8 anajenga mzawa na pesa wanatoa mradi unaenda vizuri?

Kwani hajui kwamba wakandarasi wazawa hawana mitaji mikubwa ya kujengea na kubaki kusubiria serikali kulipa deni.
 
Tatizo ni Serikali haitoi pesa kwa wakati au tatizo ni wakandarasi wazawa?

Anamlalamikia nani sasa si watoe pesa? Mbona njia 8 anajenga mzawa na pesa wanatoa mradi unaenda vizuri?

Kwani hajui kwamba wakandarasi wazawa hawana mitaji mikubwa ya kujengea na kubaki kusubiria serikali kulipa deni.
Njia nane za wapi mambo yanaenda?

Mbona makandarasi wageni barabara zinaisha kwa wakati hela wanatoa wapi?

Kama tatizo ni hela kwa nini wasitumie ziara za viobgozi kusema ukweli badala ya kusogeza magreda na vifusi??
 
Njia nane za wapi mambo yanaenda?

Mbona makandarasi wageni barabara zinaisha kwa wakati hela wanatoa wapi?

Kama tatizo ni hela kwa nini wasitumie ziara za viobgozi kusema ukweli badala ya kusogeza magreda na vifusi??
Nani kasema magreda na vifusi? Hujui wanakotoa pesa sio? Endelea kuuliza na Kazi Wataendelea kupewa kama kawaida
 
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.
Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.
Kuna barabara nyingine kule Musoma ya km 59 inajengwa na wazawa ni mwaka wa 5 sasa huu haijakamilika.!
Wanachokifanya wakisikia kuna ziara ya waziri au kiongozi yoyote wa kitaifa anakuja wanakusanya magreda na vifusi, baada ya ziara kuisha wanatokomea kusikojulikana mpaka watakaposikia kuna ziara tena!

Hali hii inasikitisha sana hasa kwa kuwa wazawa wamekuwa wakilalamika kuwa wageni wanapewa kazi, je kwa hali hii ni kiongozi gani ataendelea kuwapa wazawa miradi ya ujenzi?
Sasa serikali isipokuwa na fedha unajenga kwa mafi yako?
 
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.
Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.
Kuna barabara nyingine kule Musoma ya km 59 inajengwa na wazawa ni mwaka wa 5 sasa huu haijakamilika.!
Wanachokifanya wakisikia kuna ziara ya waziri au kiongozi yoyote wa kitaifa anakuja wanakusanya magreda na vifusi, baada ya ziara kuisha wanatokomea kusikojulikana mpaka watakaposikia kuna ziara tena!

Hali hii inasikitisha sana hasa kwa kuwa wazawa wamekuwa wakilalamika kuwa wageni wanapewa kazi, je kwa hali hii ni kiongozi gani ataendelea kuwapa wazawa miradi ya ujenzi?
Kabla ya kuwaponda wazawa fanya utafiti - je hawa wazawa wanalipwa pesa kwa wakati ili watekeleze miradi kwa wakati. Unasifia wageni ambao nchi zao zinawatuma na kuwasaidia kuja nchi zetu za Africa kwa kuwapatia mikopo nafuu ili watawale soko. Sina uhakika kama benki zetu zinaweza kuwakopesha wazawa pesa kwa urahisi. Tukitaka kujenga taifa bora lazima makandarasi wazawa wasaidiwe siyo kubezwa wakati hawapatiwi pesa za miradi kwa wakati. Wakati wa COVID-19 - makandarasi wageni walienda kujificha kwao na kutuacha wenyewe.
 
Changamoto zilizopo kwa pande zote:

1. Makandarasi wazawa kukosa mitaji ya kutosha
2. Tender kutolewa kwa ujanja janja na rushwa, hapa hata kama mtu hana sifa analazimisha ili apate pesa mwisho wa siku mradi unamshinda.
3. Kukosa weledi kwenye taaluma na biashara, watu wanajali zaidi pesa ya leo kuliko ustawi mkubwa wa kampuni yake miaka ya hapo mbele.
4. Wizi, Ubinafsi na janjajanja nyingi wabongo tumezidi,
 
Naona mmetumwa kutunyang'anya chakula anyway ila nikwambie tu tatizo lipo kwa viongozi wa ccm wanachukua watu wanawafungulisha vijikampuni uchwara wanakuwa wabia halafu pesa ikitoka wanavuta pesa wanapeleka kuhonga hasa wabunge na mawaziri wana vijikampuni bubu wameweka watu wao.

So usiseme wazawa wote wengine tunafanya Kazi za kueleweka kabisa na hatutaki siasa kwenye Kazi zetu .

Watu tukisema ccm ni tatizo mtuelewe.

Kama mpaka Magufuli alikuwa na Nyanza road unategemea nini mlipaji anajilipa juu kwa juu.
 
Mikataba iko wazi mkandarasi anatakiwa aanze kwa fedha zake kwa asilimia fulani tatizo wengi hawana hata kianzio. Ila sio wote wababaishaji kwa mfano barabara ya Kimara kwenda Mailimoja inajengwa na mkandarasi mzawa.
Wengi mnaojadili hapa wala hamjui taratibu za tenda.
Mnaongea kama mmekunya wanzuki.
HAKUNA mtu/mkandarasi anatoka atokako akufanyie kazi kwa hela yake halafu serikali ijishaue shaue kukulipa!
Huo ndio uelewa wenu msiojua kitu.
 
Sijawahi kuwaamini hawa kandarasi wazawa,ni magumashi sana,huku mtaani kuna kipande cha km 2 wamejenga,miezi sita haijafika wameanza kuziba mashimo. 'shiit.
 
Wakandarasi wazawa wa Tanzania wamekuwa mfano mbaya sana kwenye ujenzi wa barabara nchini.
Waziri Mbarawa amelalamikia barabara ya Kidatu - Ifakara inayojengwa kwa lami na wazawa, ni mwaka wa 4 sasa hiyo barabara ya kilomita 64 haijakamilika.
Kuna barabara nyingine kule Musoma ya km 59 inajengwa na wazawa ni mwaka wa 5 sasa huu haijakamilika.!
Wanachokifanya wakisikia kuna ziara ya waziri au kiongozi yoyote wa kitaifa anakuja wanakusanya magreda na vifusi, baada ya ziara kuisha wanatokomea kusikojulikana mpaka watakaposikia kuna ziara tena!

Hali hii inasikitisha sana hasa kwa kuwa wazawa wamekuwa wakilalamika kuwa wageni wanapewa kazi, je kwa hali hii ni kiongozi gani ataendelea kuwapa wazawa miradi ya ujenzi?
Hiyo barabara ya kidatu To Ifakara ni kama vile imeshawashinda hao Mbwa koko.
 
Naona mmetumwa kutunyang'anya chakula anyway ila nikwambie tu tatizo lipo kwa viongozi wa ccm wanachukua watu wanawafungulisha vijikampuni uchwara wanakuwa wabia halafu pesa ikitoka wanavuta pesa wanapeleka kuhonga hasa wabunge na mawaziri wana vijikampuni bubu wameweka watu wao.

So usiseme wazawa wote wengine tunafanyaje Kazi za kueleweka kabisa na hatutaki siasa kwenye Kazi zetu .

Watu tukisema ccm ni tatizo mtuelewe.

Kama mpaka Magufuli alikuwa na Nyanza road unategemea nini mlipaji anajilipa juu kwa juu.
Nyie watu mkilala mkiamka , mnachojua ni kuilaumu serikali tu
 
Back
Top Bottom