nankumene
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 7,335
- 8,116
makamu wa rais wa zimbabwe alietimuliwa na rais zimbabwe amekimbilia afrika ya kusini yeye na familia yake akihofia usalama wake
Rais mugabe alimtimua makamu wake huyo akimtuhumu kutaka kumpindua, cku ya jumatano mugabe aliwaambia wauatsi wake kuwa makamu huyo wa rais alikwenda kwenye kanisa moja nchini humo kuuliza kuwa mugabe atakufa lini lakin huko akajibiwa kuwa ataanza kufa yeye mwenyewe
Sasa inatarajiwa kuwa mkewe rais mugabe atachukua nafasi hio yamakamu wa rais katika kikao maalum cham chama tawala kitakachofanyika mwezi ujao
Sacked Zimbabwe vice-president flees
Rais mugabe alimtimua makamu wake huyo akimtuhumu kutaka kumpindua, cku ya jumatano mugabe aliwaambia wauatsi wake kuwa makamu huyo wa rais alikwenda kwenye kanisa moja nchini humo kuuliza kuwa mugabe atakufa lini lakin huko akajibiwa kuwa ataanza kufa yeye mwenyewe
Sasa inatarajiwa kuwa mkewe rais mugabe atachukua nafasi hio yamakamu wa rais katika kikao maalum cham chama tawala kitakachofanyika mwezi ujao
Sacked Zimbabwe vice-president flees