nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
haa haa naona ccm inazidi kuwa mapandemapande. makamu wa rais wa jmt ni team lowasa makamu wa rais wa zanzibar team membe. all in all mgombea yeyote wa ccm si wa kumuamini kamwe.
Uroho wa madaraka tu . Kaambiwa atapewa ugombea mwenza huyo.