Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Sasa mbona hatuoni mchango wao kwenye kuchangia maendeleo ya Taifa letu kwenye secta hii hadhimu,Mwingine anaitwa Dr. Mohamed Tulli alikuwa anafundisha Kuwait. Toto la Kariakoo.
nadhani kuna kitu kinawaunganisha ambacho kimewajengea msingi wa ubinafsi na ukosefu wa msukumo
wa maendeleo