Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,203
- 4,677
Mkuu huyo wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi alipata ajali ya gari akiteleza majukumu yake ya kikazi.
Makamu wa Rais, katika akaunti yake ya mtandao wa Twitter ameandika
Nilipita Kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi Recho Kasanda aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Matibabu Wakati Nikielekea Uwanja Wa Ndege Wa Dar es Salaam Kuenda Dodoma Kushiriki Uapishwaji wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ikulu Chamwino Novemba 09
Makamu wa Rais, katika akaunti yake ya mtandao wa Twitter ameandika
Nilipita Kumjulia hali Mkuu wa Wilaya ya Mlele Mkoani Katavi Recho Kasanda aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa Matibabu Wakati Nikielekea Uwanja Wa Ndege Wa Dar es Salaam Kuenda Dodoma Kushiriki Uapishwaji wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ikulu Chamwino Novemba 09