dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,332
- 1,862
Ukimwi una miaka zaidi ya 359+ tangia ugundulike Tanzania kwa mara ya kwanza,Kiwanda cha kondomu tumeshaanza kujenga cha kwetu kwa pesa zetu wenyewe hapo MSD. Kitatoa kondomu bora sana kwa watanzania vyenye usalama wa uhakika. Haya makondomu ya misaada tunaachana nayo kwani huwezi kujua usalama wake. Wanaweza wakakuwekkea mavitu mengine ya ajabu ajabu kwenye makondomu hayo.
Leo ndio kinajengwa Kiwanda cha Condom? (Kama ni kweli lakini)
Mimi nadhani wangehangaika na Chanjo ya Covid-19 hao Wataalam wetu.