Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Rais wa Chama Cha Madaktari Tanzania Dr. Rodrick ametangaza kujiuzulu wadhifa wake na kujiunga CHADEMA.
Dr. Rodrick amesema kuwa ndani ya taasisi yenye mkono wa serikali hakuna nafasi ya kupigania maslahi mapana ya madaktari Tanzania, amesema ameona mahali pekee atakapopigania maslahi ya madaktari kwa uhuru ni chadema, chama ambacho kimeonyesha kwa nia na dhamira njema kutetea maslahi ya wanyonge kwa vitendo.
Tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Source: ITV
Dr. Rodrick amesema kuwa ndani ya taasisi yenye mkono wa serikali hakuna nafasi ya kupigania maslahi mapana ya madaktari Tanzania, amesema ameona mahali pekee atakapopigania maslahi ya madaktari kwa uhuru ni chadema, chama ambacho kimeonyesha kwa nia na dhamira njema kutetea maslahi ya wanyonge kwa vitendo.
Tunamkaribisha kwa mikono miwili.
Source: ITV