Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,227
- 26,047
Ofisi ya Makamu wa Rais ndo inashughulikia Mazingira.
Baada ya Mifuko ya Plastik kuweza kuondolewa pale Mama Samia alipokuwa Makamu wa Rais Naona sasa Waziri wako Jaffo anataka kuichafua Ofisi yako
Nimetembelea Dar na Dodoma Naona kwenye vipanda vya chips wameanza kufungia mifuko ya plastiki.
Kabla halijafika kwa Mama Samia naomba ufanye ziara ukimaliza likizo yako Kwa Dodoma au Dar tu alafu fanya maamuzi ya kumshauri Rais juu ya huyu Suleiman Jaffo. Naona kazi imemshinda.
Niwatakie heri ya sikukuu ya Noeli.
Baada ya Mifuko ya Plastik kuweza kuondolewa pale Mama Samia alipokuwa Makamu wa Rais Naona sasa Waziri wako Jaffo anataka kuichafua Ofisi yako
Nimetembelea Dar na Dodoma Naona kwenye vipanda vya chips wameanza kufungia mifuko ya plastiki.
Kabla halijafika kwa Mama Samia naomba ufanye ziara ukimaliza likizo yako Kwa Dodoma au Dar tu alafu fanya maamuzi ya kumshauri Rais juu ya huyu Suleiman Jaffo. Naona kazi imemshinda.
Niwatakie heri ya sikukuu ya Noeli.