Troll JF
JF-Expert Member
- Feb 6, 2015
- 7,804
- 12,224
Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan amehamia rasmi Makao Makuu ya Nchi, Dodoma. Amefikia Ikulu ndogo iliyopo eneo la Kilimani.
Hii ni kutekeleza azma ya serikali kuhamisha makao makuu yake kutoka Dar kwenda mji huo kabla ya mwaka 2020
Full Text to follow
Hii ni kutekeleza azma ya serikali kuhamisha makao makuu yake kutoka Dar kwenda mji huo kabla ya mwaka 2020
Full Text to follow