Makamu wa Rais, Samia Suluhu anatarajiwa kumuwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 58 wa AALCO

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kumuwakilisha Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa 58 wa mwaka wa Shirika la Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) utakao anza Jumatatu Oktoba 21 hadi 25 jijini Dar es Salaam.
IMG_20191020_094451_566.jpg
 
Miluzi mingi naambiwa humpoteza mbwa. Kimya cha wahusika kuhusu hali ya jiwe kikichanganywa na miluzi inayopigwa kwa mfano hapa JF inatufanya hata ambao hatukutaka kufikiria nini kinaendelea tuanze kuwa na hofu. Jinsi siku zinavyokwenda na hakuna taarifa isiyo na shaka ni hali inayo ongeza wasiwasi. Si kawaida ya mheshimiwa "kupotea" kwa siku kadha, wanasema kuna ambao amewatumbua-lakini ajabu hujasikia wateule wana apishwa lini. Sasa kunakuja huu mkutano ambao yeye angehusika kama Mwalikwa mkuu na unafanyika hapa Dar badala yake Mama ndiye atakaemuakilisha. Kila moja la hayo niliyo yataja linaweza kuwa na jibu la kueleweka lakini ukiyaweka pamoja yanaleta shaka. Ukweli wanaujua wahusika lakini kama watanzania ni vizuri kukawa na uwazi vinginevyo wapiga miluzi watazidi kuwachanganya watanzania.
 
Miluzi mingi naambiwa humpoteza mbwa. Kimya cha wahusika kuhusu hali ya jiwe kikichanganywa na miluzi inayopigwa kwa mfano hapa JF inatufanya hata ambao hatukutaka kufikiria nini kinaendelea tuanze kuwa na hofu. Jinsi siku zinavyokwenda na hakuna taarifa isiyo na shaka ni hali inayo ongeza wasiwasi. Si kawaida ya mheshimiwa "kupotea" kwa siku kadha, wanasema kuna ambao amewatumbua-lakini ajabu hujasikia wateule wana apishwa lini. Sasa kunakuja huu mkutano ambao yeye angehusika kama Mwalikwa mkuu na unafanyika hapa Dar badala yake Mama ndiye atakaemuakilisha. Kila moja la hayo niliyo yataja linaweza kuwa na jibu la kueleweka lakini ukiyaweka pamoja yanaleta shaka. Ukweli wanaujua wahusika lakini kama watanzania ni vizuri kukawa na uwazi vinginevyo wapiga miluzi watazidi kuwachanganya watanzania.
DC haapishwi na Rais
 
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kumuwakilisha Rais Magufuli kuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa 58 wa mwaka wa Shirika la Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) utakao anza Jumatatu Oktoba 21 hadi 25 jijini Dar es Salaam.
View attachment 1238945
Tunamuombea afya njema Rais wetu japo tunapingana lakini kwa hizi tetesi kama zina ukweli tuungane wote kwa pamoja kumuombea apone haraka.
 
Bila shaka hata majibu yetu yote ya Maswali na Sintofahamu iliyopo tutayapata Kesho hiyo hiyo hivyo tuwe tu Wavumilivu.

Chanzo Taarifa: Radio One taarifa yao ya Habari ya Saa 7 mchana huu wa leo.
 
Naam. Kila la heri kwa Mama Samia, Mungu akuongoze vema katika kufanikisha majukumu yako muhimu ya kitaifa na kimataifa. Je ulinzi utaongezeka kwa kwatumia wale askari wenye nguo za chuichui au utakuwa kama uleule wa kawaida.
 
If they ask you how he doing?!!...tell them he is doing better...better than ever , better than them....
Screenshot_20191020-130026_Lite.jpeg
 
Miluzi mingi naambiwa humpoteza mbwa. Kimya cha wahusika kuhusu hali ya jiwe kikichanganywa na miluzi inayopigwa kwa mfano hapa JF inatufanya hata ambao hatukutaka kufikiria nini kinaendelea tuanze kuwa na hofu. Jinsi siku zinavyokwenda na hakuna taarifa isiyo na shaka ni hali inayo ongeza wasiwasi. Si kawaida ya mheshimiwa "kupotea" kwa siku kadha, wanasema kuna ambao amewatumbua-lakini ajabu hujasikia wateule wana apishwa lini. Sasa kunakuja huu mkutano ambao yeye angehusika kama Mwalikwa mkuu na unafanyika hapa Dar badala yake Mama ndiye atakaemuakilisha. Kila moja la hayo niliyo yataja linaweza kuwa na jibu la kueleweka lakini ukiyaweka pamoja yanaleta shaka. Ukweli wanaujua wahusika lakini kama watanzania ni vizuri kukawa na uwazi vinginevyo wapiga miluzi watazidi kuwachanganya watanzania.
Kumbe wapiga miluzi sio watanzania
 
Bila shaka hata majibu yetu yote ya Maswali na Sintofahamu iliyopo tutayapata Kesho hiyo hiyo hivyo tuwe tu Wavumilivu.

Chanzo Taarifa: Radio One taarifa yao ya Habari ya Saa 7 mchana huu wa leo.
Anaweza kupiga pushup?
 
Back
Top Bottom