kivava
JF-Expert Member
- Apr 2, 2013
- 5,772
- 4,922
Bingwa WaHahah hata walioambiwa Pombe Magufuli (PhD) atakuwa Raisi wa JMTZ 2015 walisema hivyo hivyo kama wewe!
kukata utepe
kuzinduwa miradi
kufungua makongamano
kufunga warsha
kufagia masoko
. Upuuzi mtupu