Wakuu
Naombeni maelekezo zaidi hapa ili nielewe zaidi
Nakumbuka kuna siku Sabaya alikiri makosa ya unyanganyi na akasema kwamba alikuwa anatumika zaidi makamu wa rais Dr Mpango na Governor Luoga wote wanajua kwamba alikuwa anakamilisha mission
Wadau wengi walituaminisha kwamba kesi hii ni ngumu kwani itamuhitaji makamu wa rais na gavana kwenda mahakamani kutoa ushahidi
Je ni lini watu hao wametoa ushahidi huo?
Hukumu imetokaje kabla ya mashahidi kutoa ushahidi?
Sabaya kaonewa au kuna picha limetengenezwa hapa
Naombeni maelekezo zaidi hapa ili nielewe zaidi
Nakumbuka kuna siku Sabaya alikiri makosa ya unyanganyi na akasema kwamba alikuwa anatumika zaidi makamu wa rais Dr Mpango na Governor Luoga wote wanajua kwamba alikuwa anakamilisha mission
Wadau wengi walituaminisha kwamba kesi hii ni ngumu kwani itamuhitaji makamu wa rais na gavana kwenda mahakamani kutoa ushahidi
Je ni lini watu hao wametoa ushahidi huo?
Hukumu imetokaje kabla ya mashahidi kutoa ushahidi?
Sabaya kaonewa au kuna picha limetengenezwa hapa